Tuwekee majina ya wajumbe wa Kamati Kuu tuwajue,,isije ikawa wote wanatoka Kilimanjaro
Tuwekee hao wako wa act ccm kama wote hawatoke kigoma. Au hao wa pure cccm kama sio waisilamu wote.
Tuwekee majina ya wajumbe wa Kamati Kuu tuwajue,,isije ikawa wote wanatoka Kilimanjaro
Tuwekee hao wako wa act ccm kama wote hawatoke kigoma. Au hao wa pure cccm kama sio waisilamu wote.
Ajenda ni kujadili maendeleo mkoa wa Kilimanjaro
Tumia akili ya kiutu uzima jenga hoja Ki siasa acha kuingilia mambo ya kidini kwani waisilam wamehusika vipi katika hoja yako acha upuuzi mkuu
Tuwekee majina ya wajumbe wa Kamati Kuu tuwajue,,isije ikawa wote wanatoka Kilimanjaro
Nakerwa sana na tabia ya kususia vikao sjui tuliwachaguwa kukimbia vikao au kutusemea wananchi, ni wapaze sauti kuliko ili tuwasikie kuliko kukimbia kimbia kila siku.
Ajenda ni kujadili maendeleo mkoa wa Kilimanjaro