Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
Welldone kamandas karibuni !
Hivi kwani umeambiwa wanaenda kuonana na hao madiwani wenye njaa? Hao ndo habari yao kwisha. Hawatakiwi tena!Well kama inawajali kwanini iende kuonana nao leo na si kabla ya kuwafukuza.
<br />Hapana sijalazimishwa isipokuwa wizi na uvunjifu wa amani.Hatutaki mabomu,majeruhi,vifo.
Hivi alhamisi si bunge litakuwa linaendelea na majority naona ni wabunge inakuwaje hapa.
Mallah,Bayo na wenzenu wale vijana waliofunga ofisi wapo?Kama wapo waandaeni tafuta na wa CCM nanyi mjipange kuitisha maandamano siku hiyo hiyo.Hii ni mbinu itakayofanya Chombo Cha Dola kuzuia haya maandamano kutokana na sababu za ''kiienteligensia'' nanyi mtasitisha ya kwenu.
Hizi ni mbinu za kivita ambazo ni maarufu kwa jina la ''double dealing style'' tofauti na hapa jamaa watawavua nguo chezeni.
Na hizo siku ambazo viti vya bunge vinaonekana vitupu huwa inakuwaje tena?Hivi alhamisi si bunge litakuwa linaendelea na majority naona ni wabunge inakuwaje hapa.
Wewe endelea kuwaponza wenzako kwa kuwapa mbinu za kizamani, tulikuambia mwanzo watafukuzwa tu ije mvua lije jua ukasema eti hakuna wa kuwafukuza wakifukuzwa watakwenda mahakamani haya sasa wasaidie kufungua kesi tuone......Mallah,Bayo na wenzenu wale vijana waliofunga ofisi wapo?Kama wapo waandaeni tafuta na wa CCM nanyi mjipange kuitisha maandamano siku hiyo hiyo.Hii ni mbinu itakayofanya Chombo Cha Dola kuzuia haya maandamano kutokana na sababu za ''kiienteligensia'' nanyi mtasitisha ya kwenu.
Hizi ni mbinu za kivita ambazo ni maarufu kwa jina la ''double dealing style'' tofauti na hapa jamaa watawavua nguo chezeni.
Hivi wewe una akili kushinda hawa makamanda wetu? Arusha Tupoooooooooooo sipati picha siku kumwona kamanda wa anga mbowe, makamanda wa bungeni lissu, lema na msigwa ukimalizia na makamanda wa ardhinio slaa, zitto...wakuu siku hiyo ikiwezekana hilo tukio tuliripoti laivu hata kwa kupigiana simu...wakuu nitajitahidi kurekodi hata vipande vya video muhimu...Karibuni sana arusha wakubwa zangu.......Hawana akili kila siku mikutano,maandamano watu tunataka kufanyakazi
Well kama inawajali kwanini iende kuonana nao leo na si kabla ya kuwafukuza.
hata kama wangekuja wote 48 bado kwa watu wa arusha hawana jipya la kuwaambia,nyimbo zao ni zile zile, hii ni sawaq na jamaa kaoa mwanao alafu anampiga makofi kila siku alafu anakuja kujieleza ukwenu eti unajua baba mkwe mwanao mchokozi huyo mzazi unazani atakuelewa? Chadema sasa mmejimaliza hakuna jipya zaid ya kufuta kila anachotaka dr slaachadema kimeandaa mkutano mkubwa wa hadhara mjini arusha alhamisi wiki hii utakao ongozwa na mwenyekiti wake mhe. Freeman mbowe kwa kushirikiana na katibu mkuu wa chama hicho, dk. Willibroad slaa, naibu katibu mkuu, zitto kabwe na wajumbe wa cc.
Wajumbe wa cc watakaokwenda kuhutubia mkutano huo ni mbunge wa iringa mjini, mchungaji peter msigwa; mbunge wa viti maalum, regia mtema; mwenyekiti wa baraza la vijana taifa wa chama hicho, heche suguta; mbunge wa viti maalum, chiku abwao na mbunge wa nyamagana ezekia wenje.
Wengine ni mbunge wa singida mashariki na mnadhimu wa kambi ya upinzani bungeni, tundu lissu; meya wa manispaa ya musoma, kasululu malima; mwenyekiti wa halmashauri ya karatu, lazaro masai, na mwenyekiti manispaa ya moshi, jaffar maiko. Pia atakuwapo mbunge wa arusha mjini, godbless lema na madiwani wengine wa jiji la arusha.
Madiwani waliofukuzwa
![]()
kutoka kushoto: Estomih mallah wa kata ya kimandolu, john bayo wa kata ya elerai, ruben ngowi wa kata ya themi, rehema mohamed wa viti maalum na charles mpanda wa kata ya kaloleni.
Source: Nipashe
ni kweli Mzito. Chama lazima kijengweChama kwanza bunge baadae
FaidaFoxy hawezi kutokea huko kawaponza wenzake kwa kuwadanganya waendelee kugoma sasa kawakimbia.IN CDM WE BELIEVE, IN CDM WE TRUST.... faizafoxxy utakuja huku uje utone masela wa unga ltd tuonavyoipenda CDM? jamani members wa jf Arusha tuungane hata kuhamasisha wananchi watoke kwa wingi...tukawaanike magamba...