Kamari ni mbaya...

Kamari ni mbaya...

mbalazi og

Member
Joined
Oct 28, 2019
Posts
17
Reaction score
15
Poleni namajukumu ya Pasaka! Sambamba na hilo nichukue fursa hii kuwakumbusha ndugu zangu kuchukua tahadhali juu ya virusi hatari vya COVID19.

Wakuu jana katika pitapita zangu nilienda kwenye baa moja baada ya kupata mbili tatu nikajikuta nashawishika kucheza liko dude moja hivi humo wanatumbukiza coin za 200.

Bhasi nami nikajumuika kucheza nikipewa utaalamu na yuko manzi mmja ambae alionekana akiwa mtaalamu sana kulicheza. Aisee! Ndugu msomaji, nililiwa 20k kama nimesimama.

Wakuu tupeane mbinu namna ya kulikabili ama kama kuna yeyote anaweza kucheza ile kitu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole sana ile ni mashine ya kupima ujinga....
sasa wewe umetia fora 20k....na bado unatafuta mbinu ya kuishinda
hahahaha 20k alisikika mtu kwenye mwembe akicheka kwa nguvu...
 
Mkuu subiri ligi zirudi tuendelee achana na hayo maujinga ambayo ukiliwa hujui umeliwaje.
 
Itakuwa li Bonanza hilo😂😂
Li mchina hilo subiri na likorona likukorone! Na ungekula ungejiona bonge la wewe ila sasa mambo yameenda kombo😜😜
 
Yan 20k unalalamika?? Kuna jamaa alipigwa 250k kimasihara alikua anaongea pekeyake.


iPhone 6s plus
 
Any way wakati mwingine inabidi Kuchangia hata Kitu cha Kitoto...you know this covid things is overhead makes us grounded. Any way Kuna Vitu kwa Umri wako sio vya Kujaribu, waachie teenagers wewe umechelewa.
 
Kuna jamaa ndo biashara zake yeye anakuja ananunua tray zima la token anatumbukiza hata mia 2 kama mia 50 alf ana double kwenye kila mnyama akila hela zake ni hatar kuna siku ashakula tokeni(hela) zote zilizokua ndani ya hlo bonanza hdi akawa anamdai mchina

maelezo kwa mujbu wa jamaa angu anae muendesha mchina
 
Nataka niingie class kulisomea hili dude. Yani nilijue kinaga ubaga. Nikitoka hapo ni kulipga pesa tu..

Nimemkataa Shetan na mambo yake yote..
 
Kuna jamaa ndo biashara zake yeye anakuja ananunua tray zima la token anatumbukiza hata mia 2 kama mia 50 alf ana double kwenye kila mnyama akila hela zake ni hatar kuna siku ashakula tokeni(hela) zote zilizokua ndani ya hlo bonanza hdi akawa anamdai mchina

maelezo kwa mujbu wa jamaa angu anae muendesha mchina
Huyo jamaa amedanganya shubamit...

Lile dude nilishawahi kuwa nalo sehemu nilimuweka dogo apate hela za vocha ila kwa hizo story za huyo dereva wa mchina alikupiga fix tu.



sent using Simenzi mayai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom