Mgambilwa ni mntu
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 2,869
- 3,188
- Thread starter
- #41
Kweli alikuwa na kosa kubwa lakini natamani yeye ndiye angekufa. Japokuwa wengine watapinga kuua kwa namna yoyote lakini angalao kwa dereva kwa kuwa alikaidi coz alijua tayari kosa lake.Angesimama yote hayo yangetokea? Ujinga kitu kibaya sana.
sipo hapa kumfurahisha mtu. Over.