Kamanda Tundu Lissu yuko Live, Bungeni

Kamanda Tundu Lissu yuko Live, Bungeni

Kanina

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2013
Posts
277
Reaction score
81
Wanabodi, masikio yaelekezeni Dodoma, Tundu Lissu anaua CCM kabisa....!
 
Anaua kwa shoka...., TBC na Startv wako live
 
Mzee Tupatupa naona siku zako huko kwenye ofisi za MABWEPANDE zinakaribia.

Wakikusikia rafiki cha moto.

Binti yangu Tetty,wewe ni mchonganishi bila ubishi. Ha ha ha ha ha

Mzee Tupatupa
 
Last edited by a moderator:
Magamba yameanza kuweweseka kuomba taarifa!
 
Binti yangu Tetty,wewe ni mchonganishi bila ubishi. Ha ha ha ha ha

Mzee Tupatupa

Hahahaha na wewe pia Mzee wangu?Huoni naanza kukupa hint mapema?Wale wengine nimewaambia wakadownload zile Katiba mbili za TANU na CCM wazisome vyema halafu warudi...Sasa nimechonganisha wapi?

Ila huko ulikosema kumsikiliza ADUI yetu number moja ndiyo kunaashiria shida........Hahahaha
 
tune masafa ya kati usikilize tbc taifa

kuptia mtandao vipi hakuna station yoyote inayorusha bunge hewani ?
Kama unaijua tasavali tupe link mkuu
Zamani walikuwa arusha mambo radio siku hizi sijui vipi tena
 
Back
Top Bottom