Kamanda Tundu Lissu yuko Live, Bungeni

Kamanda Tundu Lissu yuko Live, Bungeni

Unaposema Tundu Lisu anaongea Bungeni hainisaidii kitu mimi niliye mbali na hizi TV tajwa, nilitegemea utoe dondooo 'hints' anasema nini
 
UMEANDIKA kama JULIANA
Mkuu umenikumbusha Enzi hizo nikiwa mtoto, hapo kwenye BOLD, hu ugonjwa unaoitwa leo UKIMWI miaka ya 80 ulikua unakwenda kwa jina hilo, baadae tukawa tunauiitwa kwa kingereza yaani AIDS na sasa kwa Kiswahili yaani UKIMWI; tumetoka mbali sana, yaani JULIANA=AIDS=UKIMWI
 
  • Thanks
Reactions: Bob
kuptia mtandao vipi hakuna station yoyote inayorusha bunge hewani ?
Kama unaijua tasavali tupe link mkuu
Zamani walikuwa arusha mambo radio siku hizi sijui vipi tena

kwasababu ameshaongea we subiri tu wanaweza kuiweka watsup maana now days cdm hawataki masihara
 
Mkuu umenikumbusha Enzi hizo nikiwa mtoto, hapo kwenye BOLD, hu ugonjwa unaoitwa leo UKIMWI miaka ya 80 ulikua unakwenda kwa jina hilo, baadae tukawa tunauiitwa kwa kingereza yaani AIDS na sasa kwa Kiswahili yaani UKIMWI; tumetoka mbali sana, yaani JULIANA=AIDS=UKIMWI

Una matatizo wewe sasa.Ulikuwa unaitwa JULIANA sababu ya yale MASHATI toka Kenya au UGANDA yako slimfit..........kweli tumezeeka.
 
Back
Top Bottom