Kamanda Sirro atangaza oparesheni maalum kwa wenye vyeti vya kugushi

 
Angeanza na bashite...
 
Sirro anatia Huruma

Bashite kamuhangaisha na kumshusha kumbe jamaa nae kagushi

Nashangaa Sirro na timu yake wameshindwa kumbaini Bashite.


Tanzania Ngumu sana

Inaongozwa na bichwa box
 
Watu wenye vyeti halisi hawapewi Ajira, walio na ajira vyeti feki, hafu wanaagza vjana wajiajir, ***** kabsa! Toen wote ili haki itendeke,
 
Safisha safisha
Naona Tanzania inakuwa ya viongozi makini na wenye vigezo.
Mambo yakuishia form Six ZERO
Nakuongoza Watu wenye Elimu zao
Mwisho 2015
Unaionaje Six Zero na Four Zero sasa? Ilikuwaje hakukamatwa?
 
zoez la uhakiki limeshawashinda hao kwa bado watumishi karibu 80% wanatumia vyet vya kughushi, matokeo yake wanaacha kupambana nao ndio kwanza wanatuambia sisi raia ndio tuwatajie sasa si wanataka kutugombanisha na watu?
 
Jamaa walituingiza mjini kwenye hili .... kwa kweli siwaamini tena.

Hivi kuna operation gani imeanzishwa na ikafanywa na kufanikiwa katika awamu hii. Mkuu wa Nchi majuzi kadai bado anashughulika na HEWA .... Hizi hewa hazitakwisha.
 
Vyeti feki vingi sana kitaani ila wahusika wakipewa taarifa hawashughulikii hata kidogo, NECTA wakipewa taarifa wapo kimya kama hawajui vile. Tatizo lipo tena linaanzia palepale NECTA

Yule aliyekuwa mkuu wa NACTE Nkwera si alikuwa na PhD fake mpaka kakimbia kazi ili Prof Ndalichako asimnase? Sasa kama viongozi ndo wenye vyeti fake hii vita haitaanza Leo wala kesho for certain!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…