alvinroley
Member
- Sep 30, 2016
- 71
- 251
Habari zisizo rasmi (Tetesi) ambazo zina chembechembe nyingi za kuaminiwa kutoka kwa watu walio karibu na Mamlaka za uteuzi, zinadai:
1. Kamanda Mwanamke huenda akateuliwa kuwa Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam kurithi nafasi ya Simon Sirro
2. Ernest Mangu kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nje ya Nchi
1. Kamanda Mwanamke huenda akateuliwa kuwa Kamishna wa Kanda Maalumu ya Dar Es Salaam kurithi nafasi ya Simon Sirro
2. Ernest Mangu kuteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nje ya Nchi