majimotozi
Member
- Apr 27, 2015
- 17
- 6
Sorry hivi tofauti ya sare na uniform ni nini?
kutokuvaa sare hiyo ni mbinu ya kuongeza mapato kuliko kupunguza ajali. Kama faini jan -june ni zaidi ya 4 bn sioni sababu ya traffic polisi kutokubuni mbinu za kuongeza mapato
nikweli lakn hapo kwenye kuwaambia wavae nguo za kiraia ili wasijulikane ndo sijaelewa.
Duu safari ya Tunduma,Songea,Sumbawanga,Bukoba,Musoma ishakua tabu
soma tena
Mkuu hiyo inasaidia sana kama itafanyika kwa uhalali bila rushwa.
Ni kwamba ukipita kwa speed isiyoruhusiwa sehemu ambapo yupo askari mwenye Tochi na amevaa kiraia, anachofanya yeye anakupiga Tochi tu pamoja na kukurekodi bila wewe kujua na hakusimamishi.
Ila anawapigia simu wenzie wenye sare walio mbele yako kama kilomita mbili au tano, wanachofanya ni kukusomea hukumu tu kuwa sehemu fulani umepita kwa speed isiyoruhusiwa.
Ukibisha wanakuletea ile tochi yenye picha na hata video ya gari lako ikionyesha mwendo uliopita nao.
Mbaya zaidi Tochi za sasa zinapiga Mbele na nyuma yaani hata ukiigeuzia mgongo unakurekodi tu.
Hivyo ukiwa kwenye eneo la speed hamsini ukimkuta askari wa Tochi hakikisha unamaliza eneo lenye speed hamsini ndio uongeze mwendo la sivyo utawalaumu askari bure.
Askari mwenye Tochi asiye na sare akikupiga/kukurekodi hakusimamishi anachofanya anawapigia simu wenzie mbele unakoelekea.tujiandae kwa kipigo cha majambaz kwani wanaweza wakatumia fursa ya hao polis wasiovaa sare kusimamisha magar ya abiria na kuwateka.
police mpinga take care kwa hili
Mkuu hiyo inasaidia sana kama itafanyika kwa uhalali bila rushwa.
Ni kwamba ukipita kwa speed isiyoruhusiwa sehemu ambapo yupo askari mwenye Tochi na amevaa kiraia, anachofanya yeye anakupiga Tochi tu pamoja na kukurekodi bila wewe kujua na hakusimamishi.
Ila anawapigia simu wenzie wenye sare walio mbele yako kama kilomita mbili au tano, wanachofanya ni kukusomea hukumu tu kuwa sehemu fulani umepita kwa speed isiyoruhusiwa.
Ukibisha wanakuletea ile tochi yenye picha na hata video ya gari lako ikionyesha mwendo uliopita nao.
Mbaya zaidi Tochi za sasa zinapiga Mbele na nyuma yaani hata ukiigeuzia mgongo unakurekodi tu.
Hivyo ukiwa kwenye eneo la speed hamsini ukimkuta askari wa Tochi hakikisha unamaliza eneo lenye speed hamsini ndio uongeze mwendo la sivyo utawalaumu askari bure.
Mkuu bado kuna utata mkubwa, kwani hiyo video inaonyesha na kibao cha 50km/hr..?? kama haionyeshi je utajuaje kama ni kweli askari huyo alikua kwenye eneo husika? Kwa hili nadhani ni wajibu wa hao askari kutoa ushahidi wakutosha kabisa kabla ya kumtoza mtu faini isijeonekana kuwa kuna uonezi unaoweza kutokea