Kamanda Mawazo yuko Kome Visiwani

Kamanda Mawazo yuko Kome Visiwani

maguzu masese

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
283
Reaction score
139
Mawazo kaingia visiwani leo kwa ajili ya maandalizi ya uzinduzi wa kampeni tar l/6 anasema nchi hii ni kama ile nchi ya ya ahadi ya kwenye bible.Ni mzuri ajabu na isingekuwa uongozi mbaya..njaa NOO!
 
Hongereni sana, nimeshawahi kuhudhuria mkutano wake, nilishudia watu akiangua vilio kwa masikitiko baada ya kuumizwa na maneno yake ya hamasa na namna tanzania inavobakwa na kunajinsiwa na viongozi wa ccm
 
Mungu akutangulie kamanda Mawazo.Hakika naanza kuiona Tz mpya.Mungu ilinde Chadema na viongozi wake wote
 
Daima mbele nyuma mwiko, kila lakheri kamanda Mawazo na Mungu akuepushie na mabaya yote, amen
 
Mungu akupe ulinzi kamanda. Wewe ni mkale tu. kiboko cha CCM
 
Tuko nyuma yako kwa maombi Kamanda pigana nao mpaka tone la mwisho wa damu yako.
 
kila la heri Kamanda Mawazo Kweli wewe ni Kifaa kitakacho badiri kila mtu aliyefikiri ukombozi huja wakati umekaa kumbe ni kupigana
 
Kampeni ya nini huko Lugata Kome wakati ADIRIANI TIZEBA wa Chadema anasubiri kuapishwa tuu?. Bigup Jemedali MAWAZO
 
Mwenyezi Mungu azidi kumpa nguvu kamanda MAWAZO, kazi ya mikono yake haita lala bila kulipwa malipo yaliyo mema.

hapa CCM walibutua tena... Wasingekataa uchaguzi kata ya Sombetini, ungekuta Mawazo sasa yupo bize kwenye kata yake akitetea kiti chake.. Lakini kwa kumuacha huyu jamaa free, atawapotezea CCM si chini ya kata 5, na bado Sombetini itakuwa ya CDM! Hawa CCM sijui nani anawashauri!!!
 
hapa CCM walibutua tena... Wasingekataa uchaguzi kata ya Sombetini, ungekuta Mawazo sasa yupo bize kwenye kata yake akitetea kiti chake.. Lakini kwa kumuacha huyu jamaa free, atawapotezea CCM si chini ya kata 5, na bado Sombetini itakuwa ya CDM! Hawa CCM sijui nani anawashauri!!!
Think tankers wa CCM kwa sasa ni Mwigulu, Lusinde, Nape, Mukama, Shonza na Mwampamba.

Hao wote akili zao ziko tumboni na chooni basi.
Kweli wataweza kuishauri nini CCM?
 
Back
Top Bottom