OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 228
Ndiyo wakuu , heshima kwenu! Katika harakati za vugu vugu la mabadiliko ( M4C ) linalo endelea katika sehemu mbalimbali za nchi yetu ,jana Kamanda amepata zawadi ya Father Krismas kwa CHADEMA baada ya kuwavua magamba wenyeviti watatu wa vitongoji na mwenezi CCM kata na kujiunga rasmi na jeshi la ukombozi (CHADEMA).
Operation hiyo inayo ongozwa na Kamanda Mawazo kanda ya Ziwa, jana pia imevuna mamia ya wanachama wakiwemo wenyeviti wa vitongoji katika kijiji cha Gulunwa ambapo Operation hiyo itakuwa ni ya wiki moja.
Operation hiyo inayo ongozwa na Kamanda Mawazo kanda ya Ziwa, jana pia imevuna mamia ya wanachama wakiwemo wenyeviti wa vitongoji katika kijiji cha Gulunwa ambapo Operation hiyo itakuwa ni ya wiki moja.