Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,060
Huyu jamaa anaipenda kazi yake kweli, hana hata mapumziko ya Krismas, Kudos Mawazo!
paka sasa hivi hakuna hata kimoja kilichofika Tanzania, habari kutoka Uingereza zinasema kuwa ilikuwa ni usanii wa Lema hakuna chochote.Ndiyo wakuu , heshima kwenu! Katika harakati za vugu vugu la mabadiliko ( M4C ) linalo endelea katika sehemu mbalimbali za nchi yetu ,jana Kamanda amepata zawadi ya Father Krismas kwa CHADEMA baada ya kuwavua magamba wenyeviti watatu wa vitongoji na mwenezi CCM kata na kujiunga rasmi na jeshi la ukombozi (CHADEMA).
Operation hiyo inayo ongozwa na Kamanda Mawazo kanda ya Ziwa, jana pia imevuna mamia ya wanachama wakiwemo wenyeviti wa vitongoji katika kijiji cha Gulunwa ambapo Operation hiyo itakuwa ni ya wiki moja.