Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
we should suport him
Yes Mkuu, huyu mtu tangu nimeanza kumsikia akihamasisha watu na kupelekea ushindi kwenye chaguzi kadhaa za udiwani, wenyevit wa vitongoji na mitaa katika maeneo mbali mbali, siyo leo, amefanya kazi sana. Na haonekani kupumzika, najua CHADEMA makao makuu wanafanya kitu juu yake, lakini na sisi lazima TUCHANGIE MABADILIKO HAYA. Haiwezekani tuwe washabiki tu wa maneno kama "MAWAZO GO...GO KAMANDA, M4C WITH NO APOLOGY, VIVA CHADEMA" na mengine mengi, TUMUWEZESHE HUYU MTU KWA RASILIMALI FEDHA. NAPENDEKEZA MWENYE NAMBA YAKE YA VODA AIWEKE HEWANI ILI TUANZE KUMCHANGIA, I WILL BE THE FIRST PERSON KUTOA KDOGO NILICHONACHO. Wote tukitoa kidogo kidogo, jumla yake itakuwa kubwa jamani, si tulijifunza zamani zile kuwa HABA NA HABA HUJAZA KIBABA?