Nipo Maji ya Chai kituo fulani cha Compassion ndo nasimamaia huku, sasa juzi kuna mmoja wa wana barza la wazee kanisan yeye ni Kada wa magamba haswaa!, mi nilikua sijamnyaka kua ni kamba, mi nkaamua kuanzisha sera za CDM ofisini, duh kumbe nilikua namgusa pabaya, keshoyake akawa ameenda kuchagua magamba wa kugombea jimbo, duh! cha ajabu baada ya kutoka huko akanifuata na kunambia kua, Isee ndg jimbo CDM mnalichukua bila kipngamizi chochte coz tuliyekuwa tuna mtaka sie apite siyo aliyepitishwa, wamechakachua. Wao wenyewe wanamalzana! kazi kwenu CDM sasa, Jimbo ni letu! Magamba wenyewe wamemalizana, hawelewani.Lets Be after our beloved Lema.