HFOOO
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 683
- 652
Habarini za asubuhi wapendwa kaka na dada zangu wakubwa shikamoni ila kama upo chini 25 tulia.
Wanajamvi kuna taarifa nimezipata juu juu ila nikaone ngoja niulize na waswahili wanasema kuuliza si ujinga, Je! Kuna mtu anafahamu kamanda ocd wilaya ya singida mji ambae alipotea hadi sasa ni miaka kumi na hajawahi kuonekana hadi leo????
Wanajamvi kuna taarifa nimezipata juu juu ila nikaone ngoja niulize na waswahili wanasema kuuliza si ujinga, Je! Kuna mtu anafahamu kamanda ocd wilaya ya singida mji ambae alipotea hadi sasa ni miaka kumi na hajawahi kuonekana hadi leo????