Kama wewe ni Trafic Police, nani utamruhusu apite kwanza?

Kama wewe ni Trafic Police, nani utamruhusu apite kwanza?

Afrika ni bara lenye watawala sio viongozi, sasa jichanganye umsimamishe mtawala uone

Bara Giza
 
Kama mimi naruhusu watu kurescue maisha hao wengine wapo tu
 
Nchi ya kipumbavu sana hii 😂
 
Kwa mimi hapo nitaanza kuruhusu kwa mtiririko ufuatao
1.Fire rescue-hawa wanaenda kuokoa maisha ya watu wengi na mali zao
2.Ambulance-huyu anaenda kuokoa uhai wa binadamu/mgonjwa mmoja pia ni muhimu
3.Hao wengine waliobaki watakuwa wa mwisho hata wakichelewa hakuna hasara
 
Kwa mimi hapo nitaanza kuruhusu kwa mtiririko ufuatao
1.Fire rescue-hawa wanaenda kuokoa maisha ya watu wengi na mali zao
2.Ambulance-huyu anaenda kuokoa uhai wa binadamu/mgonjwa mmoja pia ni muhimu
3.Hao wengine waliobaki watakuwa wa mwisho hata wakichelewa hakuna hasara
Naunga mkono hoja
 
Kwa mimi hapo nitaanza kuruhusu kwa mtiririko ufuatao
1.Fire rescue-hawa wanaenda kuokoa maisha ya watu wengi na mali zao
2.Ambulance-huyu anaenda kuokoa uhai wa binadamu/mgonjwa mmoja pia ni muhimu
3.Hao wengine waliobaki watakuwa wa mwisho hata wakichelewa hakuna hasara

Africa unafukuzwa kazi. Miviongozi mingi mipumbavu inapenda sifa na show offs za kijinga. Inataka msafara hata bila sababu za msingi, unaweza kuta hapo mtu anarudi kwake ila kila kitu kimesimama ili yeye apite. Nchi ya kipumbavu sana hii.
 
Africa unafukuzwa kazi. Miviongozi mingi mipumbavu inapenda sifa na show offs za kijinga. Inataka msafara hata bila sababu za msingi, unaweza kuta hapo mtu anarudi kwake ila kila kitu kimesimama ili yeye apite. Nchi ya kipumbavu sana hii.
Mimi nitafuata misingi ya kazi na utaalamu unavyotaka sitajali nani atafanya nini
 
Africa unafukuzwa kazi. Miviongozi mingi mipumbavu inapenda sifa na show offs za kijinga. Inataka msafara hata bila sababu za msingi, unaweza kuta hapo mtu anarudi kwake ila kila kitu kimesimama ili yeye apite. Nchi ya kipumbavu sana hii.
Mimi nitafuata misingi ya kazi na utaalamu unavyotaka sitajali nani atafanya nini
 
Kwa mimi hapo nitaanza kuruhusu kwa mtiririko ufuatao
1.Fire rescue-hawa wanaenda kuokoa maisha ya watu wengi na mali zao
2.Ambulance-huyu anaenda kuokoa uhai wa binadamu/mgonjwa mmoja pia ni muhimu
3.Hao wengine waliobaki watakuwa wa mwisho hata wakichelewa hakuna hasara
Naruhusu wote. then nakaa zangu pembeni nakunywa kahawa taratiibu.
 
Back
Top Bottom