NIMEKUA NIKIJIULIZA SANA KUHUSU TREND ZA MAHUSIANO YA KIMAPENZI KWA MIAKA YA HIVI KARIBUNI:
Mdada anaweza akawa na boyfriend lakn bado anatoka na mtu mwingine na hata wakikosana si ajabu kuona amepata lover mwingine baada ya siku mbili and the same applies to men!
SWALI LANGU NI KWAMBA HIVI MPAKA MWANAUME AU MWANAMKE ANAFIKISHA UMRI WA MIAKA 45 NI UPANDE UPI UNAWEZA UKAWA UMEPITA NJIA NYINGI ZAIDI!
Na wastan mwanamke au mwanaume anaweza akawa amesex na wanaume au wanawake wangapi mpaka miaka 45?
Mdada anaweza akawa na boyfriend lakn bado anatoka na mtu mwingine na hata wakikosana si ajabu kuona amepata lover mwingine baada ya siku mbili and the same applies to men!
SWALI LANGU NI KWAMBA HIVI MPAKA MWANAUME AU MWANAMKE ANAFIKISHA UMRI WA MIAKA 45 NI UPANDE UPI UNAWEZA UKAWA UMEPITA NJIA NYINGI ZAIDI!
Na wastan mwanamke au mwanaume anaweza akawa amesex na wanaume au wanawake wangapi mpaka miaka 45?