DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,819
- 47,692
- Thread starter
-
- #61
Umesahau kozi moja kubwa sana UFUNDI (ENGINEERING)
asikudanganye mtu huko ndipo tulipo wasakatonge
Hii NAKATAAmchawi atakuwa kingereza
Then hapo sinza Kuna siasa chafu niamini MimiHii NAKATAA
hapo unaongelea watu/wanafunzi waliosoma saiyance na kufaulu vizuri masomo ya Mathematics and Physics Ambapo 75% ya wanafunzi wanayakimbia kwa kuwa hayana msingi mzuri kutokea Primary hivyo kuwapelekea kupata pass za SIFURI na kwa uchache D kidato cha nne. Hivyo hawana sifa ya kosoma Kozi tajwa hapo juuIngekuwa ni mimi ningeshauri asome moja wapo wa fani hizi;-
- Engineering
- Medical Doctor
- Quantity Survey
- Vocational Training in either Masonry, Electrical, Mechanical kwa wale watakaokuwa na Elimu ya wastani.
Next exams Dr. Tulia na Mwakyembe WASITI 😎😎😎 Na wanafunzi wakitumia anonymous ID na KABUDIThen hapo sinza Kuna siasa chafu niamini Mimi
Before 2019 watu walikuwa wanapasua Sana Tena vizuri nadhani Kuna Upumbavu unaendelea
Kusoma vocational training sio lazima uwe umefaulu masomo vizuri, mtu aliyesoma VETA anakuwa well trained.hapo unaongelea watu/wanafunzi waliosoma saiyance na kufaulu vizuri masomo ya Mathematics and Physics Ambapo 75% ya wanafunzi wanayakimbia kwa kuwa hayana msingi mzuri kutokea Primary hivyo kuwapelekea kupata pass za SIFURI na kwa uchache D kidato cha nne. Hivyo hawana sifa ya kosoma Kozi tajwa hapo juu
Elimu ya kikoloni full kukomoana that way hii nchi Unaweza pata degree bila kujua hata kuandika sentence moja ya kingereza Elimu ya kukaliliNext exams Dr. Tulia na Mwakyembe WASITI 😎😎😎 Na wanafunzi wakitumia anonymous ID na KABUDI
Ni kweli lakini iwapo atakuwa ameshindwa kuendelea na elimu ya juu masomo niliyotaja kwa ngazi ya ufundi yatamfaa zaidi.hapo unaongelea watu/wanafunzi waliosoma saiyance na kufaulu vizuri masomo ya Mathematics and Physics Ambapo 75% ya wanafunzi wanayakimbia kwa kuwa hayana msingi mzuri kutokea Primary hivyo kuwapelekea kupata pass za SIFURI na kwa uchache D kidato cha nne. Hivyo hawana sifa ya kosoma Kozi tajwa hapo juu
Wala usijali napenda nambaNi kweli lakini iwapo atakuwa ameshindwa kuendelea na elimu ya juu masomo niliyotaja kwa ngazi ya ufundi yatamfaa zaidi.
Niwie radhi kwa kuegemea upande huo wa Sayansi kwakuwa nami nimesoma eneo hilo hivyo nina mapenzi nalo kuliko kule kwingine
Udakitari Kwa Sasa umevamiwa. Madaktari wengi hawana maadili ya udakitari Bali wameupata kutokana na ufaulu tu unaotokana na Wazazi kuwa na uwezo Wa kuwasomesha Shule nzuri na Hata vyuo vya kulipia NJE ya nchi.Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Hongera pia mkuu, wakati tunasoma ilikuwa ni kawaida kukuta anayesoma Sayansi ndiyo huyo huyo anaongoza na masomo ya arts pia 💪Wala usijali, mimi pia ni mdau wa saiyance
Mkopo uhakikaKusoma udaktari nako bei juu sana
Hii misifa ndo inafanya kwenu kuongoze kwaumasikinUkitoa udaktari hizo zilizobaki ni marufuku kwa wahay kusoma.
Mhaya unakuwa mwalimu aiseeee utakuwa unakwama sanaaa
Wowote ile uwe umeme, ujenzi, magari n.k zote zinatoaUfundi wa kitu gani?
Mafundi kushona (cherehani) wana maisha magumu hatari🙄🙄Sema VETA, umeme, uashi,ushonaji nk.
Hoja ya hovyo kabisa!!!Mtoto wa masikini course zake zinajulikana. Ni
udaktari
Kilimo na uvuvi
Ukizidi Sana ualimu wa kingereza au science
Mtu unasoma HR hata sehemu ya kujitolea kupata tu ni mziki mnene kuzidi hadi ule wa disco sound
Watu wanaumwa kila siku magonjwa kibao madaktari wanatafutwa huku kwenye Elimu watu wanazidi kuzaliana na lazima mtoto aende shule tu, sasa unadhani atafundishwa na Nani Kama sio mwalimu.
Umetufokea tuliosoma HR daah
Ila ni ukweli mi siwezi mshauri mtu asome Hr
Mkuu, ulizia gharama ya kusoma SCHOOL OF LAW na idadi ya wanaodisco kila mwana,Ule muhuri wao hawalali njaa nasikia vibuku 20,30 nasikia wanavipata pata
Mi sio broo mkuu,Bro kwani kozi ya Hr ina ubaya gani au kwa sababu kuna wahitimu wengi wa hiyo kozi?