Kama wewe ndo baba utafanya nini?

hernanes96

Member
Joined
May 2, 2015
Posts
16
Reaction score
6
Baba; hivi juma mwanangu,pindi ninapokupa kichapo kikali hasira zako unamalizia wapi?

Juma; huwa nachukua mswaki wako nasugulia chooni!!

Ungekua baba ndo wewe ungefanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…