Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,116
- 4,773
Chadema imepoteza wabunge wawili ndani ya takriban masaa 48. Kila anayefuatilia kwa karibu matukio haya anaifahamu drill: CCM watakaa pembeni wakiwa na kicheko kikubwa huku "waasi" kutoka Chadema wakifanya kazi ya kukaanga chama hicho kikuu cha upinzani. Then Chadema watakuja na script Ileile "acha waondoke. Chama bado imara." Baada ya hapo, maisha yanaendelea kana kwamba hakuna kilichotokea.
Ni rahisi kuilaumu CCM kwamba inatumia mbinu chafu "kulazimisha" wabunge na madiwani wa Chadema kujiunga na chama hicho tawala. Hilo la mbinu chafu ni kweli, na ni chafu kwelikweli. Kwa kifupi, nyenzo muhimu inayowezesha hamahama hiyo ni ile "ya Putin kwa Trump" yaani KOMPROMAT. Ileile ambayo JIWE anafanyiwa na "Mtu Mrefu Paulo." Yawezekana kabisa kuwa mbinu hii ambayo ni maarufu sana katika "sistema" huko Russia ikihusisha mashushushu, inaweza kuwa ni "msaada wa kiutawala" kwa Jiwe kutoka kwa "Mtu Mrefu Paulo."
Uzuri wa "kompromat" ni kwamba it usually works, tena kwa ufanisi. Fanikiwa kupata compromising info kuhusu mlengwa, basi huyo anakuwa mtumwa wako wa kudumu. Labda kuna siku nitapata wasaa wa kueleza hili kiundani ila ninachoweza kueleza kwa sasa ni kwamba hamahama hii inaambatana na udhalilishaji mkubwa ambao baadaye hutumika kwenye "kompromat."
Lakini Chadema haiwezi kukwepa lawama kwa haya yanayoisibu. Wakati flani, chama hicho kilikuwa na Idara ya intelijensia iliyokuwa hodari mno, yayumkinika kusema "hodari karibu au hata zaidi ya TISS." Hii ilikuwa Chadema ya enzi za kina Dokta Slaa. Ilikuwa both defensive and offensive. Defensive kwa namna ilivyoweza kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama from CCM na kitengo. Offensive kwa namna ilivyoweza kujipenyeza serikalini na hata TISS na ndio maana iliwezekana kuibua skandali mbalimbali kama EPA, Richmond, nk.
Ninaweza kusema bila kusita kuwa laiti ingekuwa zama hizo, hawa wanaohama wangejulikana kabla hawajafanya "surprises" hizi za mfululizo. Kusema "ah huyu alikuwa mzigo" ilhali hamkumtimua mpaka akawakimbia ni utoto wa kisiasa. Kudai "acha waende" ilhali hatuambiwi kuwa "huyu na yule kamwe hawawezi kuhama" ni mzaha.
Kwa uelewa wangu, kuna wabunge wengine kadhaa wapo njiani kuhama. Na kama unadhani hizi ni porojo tu, zingatia "ubashiri" wangu huu nilioutoa majuzi na umetimia
Chadema kuilaumu CCM kwa mbinu chafu ni sawa na Yanga kuilaumu Simba kwa hujuma. Iwe kwa njia halali au zisizo halali, jukumu la kujikinga na hujuma za adui haliwezi kutegemea huruma ya adui. Kwamba "tuzembee, akitudhuru tumlaumu." Who cares?
Talking of mapungufu ya kiintelijensia ndani ya Chadema, nimekutana na bandiko la mmoja wa "think tanks" za chama hicho, Bwana Yericko. Let's be honest, kama "washauri wa kiintelijensia" wa Chadema ndio wa aina hii, basi mustakabali wa chama hicho upo hatarini. Hebu angalia bandiko hili hapa chini la Bwana Yericko kisha rejea bandiko halisi "aliloiba" huko Facebook.
Bandiko la Yericko ni hili hapa Kama nitasafiri kwa ndege moja na Polepole na Lugola nitaomba niwaelekeze haya:
Bandiko aliloiba kutoka kwa Mheshimiwa Ismail Jussa ni hili hapa Ismail Jussa
Labda hili halihusiani na "mapungufu" ya Chadema lakini nonetheless halileti picha nzuri, especially katika kipindi hiki ambapo chama hicho kikuu cha upinzani kinapitia kipindi kigumu.
Ni rahisi kuilaumu CCM kwamba inatumia mbinu chafu "kulazimisha" wabunge na madiwani wa Chadema kujiunga na chama hicho tawala. Hilo la mbinu chafu ni kweli, na ni chafu kwelikweli. Kwa kifupi, nyenzo muhimu inayowezesha hamahama hiyo ni ile "ya Putin kwa Trump" yaani KOMPROMAT. Ileile ambayo JIWE anafanyiwa na "Mtu Mrefu Paulo." Yawezekana kabisa kuwa mbinu hii ambayo ni maarufu sana katika "sistema" huko Russia ikihusisha mashushushu, inaweza kuwa ni "msaada wa kiutawala" kwa Jiwe kutoka kwa "Mtu Mrefu Paulo."
Uzuri wa "kompromat" ni kwamba it usually works, tena kwa ufanisi. Fanikiwa kupata compromising info kuhusu mlengwa, basi huyo anakuwa mtumwa wako wa kudumu. Labda kuna siku nitapata wasaa wa kueleza hili kiundani ila ninachoweza kueleza kwa sasa ni kwamba hamahama hii inaambatana na udhalilishaji mkubwa ambao baadaye hutumika kwenye "kompromat."
Lakini Chadema haiwezi kukwepa lawama kwa haya yanayoisibu. Wakati flani, chama hicho kilikuwa na Idara ya intelijensia iliyokuwa hodari mno, yayumkinika kusema "hodari karibu au hata zaidi ya TISS." Hii ilikuwa Chadema ya enzi za kina Dokta Slaa. Ilikuwa both defensive and offensive. Defensive kwa namna ilivyoweza kubaini hujuma mbalimbali dhidi ya chama from CCM na kitengo. Offensive kwa namna ilivyoweza kujipenyeza serikalini na hata TISS na ndio maana iliwezekana kuibua skandali mbalimbali kama EPA, Richmond, nk.
Ninaweza kusema bila kusita kuwa laiti ingekuwa zama hizo, hawa wanaohama wangejulikana kabla hawajafanya "surprises" hizi za mfululizo. Kusema "ah huyu alikuwa mzigo" ilhali hamkumtimua mpaka akawakimbia ni utoto wa kisiasa. Kudai "acha waende" ilhali hatuambiwi kuwa "huyu na yule kamwe hawawezi kuhama" ni mzaha.
Kwa uelewa wangu, kuna wabunge wengine kadhaa wapo njiani kuhama. Na kama unadhani hizi ni porojo tu, zingatia "ubashiri" wangu huu nilioutoa majuzi na umetimia
Chadema kuilaumu CCM kwa mbinu chafu ni sawa na Yanga kuilaumu Simba kwa hujuma. Iwe kwa njia halali au zisizo halali, jukumu la kujikinga na hujuma za adui haliwezi kutegemea huruma ya adui. Kwamba "tuzembee, akitudhuru tumlaumu." Who cares?
Talking of mapungufu ya kiintelijensia ndani ya Chadema, nimekutana na bandiko la mmoja wa "think tanks" za chama hicho, Bwana Yericko. Let's be honest, kama "washauri wa kiintelijensia" wa Chadema ndio wa aina hii, basi mustakabali wa chama hicho upo hatarini. Hebu angalia bandiko hili hapa chini la Bwana Yericko kisha rejea bandiko halisi "aliloiba" huko Facebook.
Bandiko la Yericko ni hili hapa Kama nitasafiri kwa ndege moja na Polepole na Lugola nitaomba niwaelekeze haya:
Bandiko aliloiba kutoka kwa Mheshimiwa Ismail Jussa ni hili hapa Ismail Jussa
Labda hili halihusiani na "mapungufu" ya Chadema lakini nonetheless halileti picha nzuri, especially katika kipindi hiki ambapo chama hicho kikuu cha upinzani kinapitia kipindi kigumu.