Mwamba 3
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 253
- 279
Nipo mkoa fulani , linapofika suala la ulipaji wa bili ya maji ni pasua kichwa sana . Yaani inavyoonekana wateja wa maji ya bomba bili zake nadhani zinakadiliwa tu na mamlaka husika .
Kuna kipindi fulani ilitoka bili kubwa , kama mara mbili na nusu ya bill tulipayo ya kawaida kwa kila mwezi . Kila mpangaji alishtuka lkn tukalichukulia poa .
Mwezi uliyopita ( wa kwanza ) , tukapewa tena bili kubwa sana kwa njia ya sms . Yaani kubwa kuliko matumizi . Ile tunajiuliza jiuliza kwa nini bili kubwa hivi wakatuma tena bili ya pili . Hapo wakasema bili ya kwanza ilikosewa .
Sasa nikajiuliza inakosewaje , au kuna mazingira idara husika wanawahujumu watumiaji ?
Kwa nini tusitumie mfumo wa LUKU ?
Karibuni wadau wa maji Nchini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kipindi fulani ilitoka bili kubwa , kama mara mbili na nusu ya bill tulipayo ya kawaida kwa kila mwezi . Kila mpangaji alishtuka lkn tukalichukulia poa .
Mwezi uliyopita ( wa kwanza ) , tukapewa tena bili kubwa sana kwa njia ya sms . Yaani kubwa kuliko matumizi . Ile tunajiuliza jiuliza kwa nini bili kubwa hivi wakatuma tena bili ya pili . Hapo wakasema bili ya kwanza ilikosewa .
Sasa nikajiuliza inakosewaje , au kuna mazingira idara husika wanawahujumu watumiaji ?
Kwa nini tusitumie mfumo wa LUKU ?
Karibuni wadau wa maji Nchini
Sent using Jamii Forums mobile app