katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,126
- 5,756
Wadau kama upo serious kupata mawazo ya kibiashara au kimaisha au wewe ni mshauri wa kibiashara na maisha nataka kuanzisha group hata humu jf watu wasaidiane au wasaidike kutokana na mashauri au ushauri utakaotolewa na wahusika wa hili group ambalo litaanzishwa au pia discussion kuhusu biashara mbalimbali na maisha pia.
Halafu kingine kwa wale wanaotaka kushauriwa kuhusu afya pia sio mbaya mkijiunga.
Nakama unataka nikuadd post hapa unataka nakuadd kwenye group.
Halafu kingine kwa wale wanaotaka kushauriwa kuhusu afya pia sio mbaya mkijiunga.
Nakama unataka nikuadd post hapa unataka nakuadd kwenye group.