GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Vijana wengi kipindi hiki wameomba vyuo na wengine bado wanaendelea kuomba vyuo. Ila cha ajabu wengi wao hawajui lolote kuhusu future yao, yaani wapo wapo tu.
Utakuta kijana mpaka anamaliza kidato cha sita hata hajui chuo kikuu anapaswa kusoma nini. Kikifika kipindi kama hiki cha kuomba vyuo anabaki anadandia dandia kozi za kusoma bila hata kuzielewa kwa kina kozi hizo. PUMBAVU SANA.
SASA KAMA WEWE NI MUHUSIKA WA HAYA BASI UNAPASWA KUJITATHIMINI SANA.
1. Kama mpaka unamaliza kidato cha sita ulikuwa hujui chuo utasomea nini na sasa ndiyo unahaha kutafuta kozi ya kusoma. UMEPATA HASARA SANA.
2. Kama umeomba kozi ambayo hata huna maelezo na ufahamu nayo wa kutosha ila umeomba kwa sababu tu ipo kwenye TCU BOOK. WEWE NI HASARA KUBWA SANA.
3. Kama umeomba chuo na kozi kwa ushawishi tu wa marafiki zako au jamaa zako ila wewe mwenye ulikuwa hujui lolote. WEWE NI HASARA KUBWA.
4. Kama umeomba chuo cha private na hata hujui direct cost na ada ya chuo hicho na huku unajua kabisa kwenu ni hali ngumu ya kimaisha. WEWE NI TATIZO KUBWA.
5. Kama umeomba chuo kwa sababu tu mwaka huu hutaki kukaa mtaani na unaona chuo ni sehemu ya kupotezea muda. WEWE NI TATIZO KUBWA.
WASOMI WA KITANZANIA NI JANGA KUBWA SANA TENA SANA
Utakuta kijana mpaka anamaliza kidato cha sita hata hajui chuo kikuu anapaswa kusoma nini. Kikifika kipindi kama hiki cha kuomba vyuo anabaki anadandia dandia kozi za kusoma bila hata kuzielewa kwa kina kozi hizo. PUMBAVU SANA.
SASA KAMA WEWE NI MUHUSIKA WA HAYA BASI UNAPASWA KUJITATHIMINI SANA.
1. Kama mpaka unamaliza kidato cha sita ulikuwa hujui chuo utasomea nini na sasa ndiyo unahaha kutafuta kozi ya kusoma. UMEPATA HASARA SANA.
2. Kama umeomba kozi ambayo hata huna maelezo na ufahamu nayo wa kutosha ila umeomba kwa sababu tu ipo kwenye TCU BOOK. WEWE NI HASARA KUBWA SANA.
3. Kama umeomba chuo na kozi kwa ushawishi tu wa marafiki zako au jamaa zako ila wewe mwenye ulikuwa hujui lolote. WEWE NI HASARA KUBWA.
4. Kama umeomba chuo cha private na hata hujui direct cost na ada ya chuo hicho na huku unajua kabisa kwenu ni hali ngumu ya kimaisha. WEWE NI TATIZO KUBWA.
5. Kama umeomba chuo kwa sababu tu mwaka huu hutaki kukaa mtaani na unaona chuo ni sehemu ya kupotezea muda. WEWE NI TATIZO KUBWA.
WASOMI WA KITANZANIA NI JANGA KUBWA SANA TENA SANA