Kaguo Willy
Senior Member
- Nov 3, 2016
- 194
- 172
Habari za muda huu wanaJF.
Niende kwenye mada kuna jamaa yangu wa karibu ameulizwa na demu wake kuwa huwa anavaa bukta yake mara ngapi hadi kuifua ? Baada y jamaa kuulizwa swali akajibu inategemea ila mara nyingi kuanzia mara 4 or 5 baada ya hapo nafua.
Baada ya majibu hayo demu akamwambia jamaa kuwa kuna jamaa mmoja bukta yake imechafuka hadi imebadilika rangi kwani tangu avae ana kama 1 week hivi hajafua na ana mke so anashndwa kuelewa kwann hafui ? Lakn jamaa akamuuliza swali kuwa umejuaje kuwa imechafuka ad kubadilika rangi na demu akajbu kuwa kuna siku aliinama na yeye akaiona so jamaa akawa hajaridhika na majibu ya demu wake.So ungekuwa wewe ungefanyaje kutatua swala hili ?
Niende kwenye mada kuna jamaa yangu wa karibu ameulizwa na demu wake kuwa huwa anavaa bukta yake mara ngapi hadi kuifua ? Baada y jamaa kuulizwa swali akajibu inategemea ila mara nyingi kuanzia mara 4 or 5 baada ya hapo nafua.
Baada ya majibu hayo demu akamwambia jamaa kuwa kuna jamaa mmoja bukta yake imechafuka hadi imebadilika rangi kwani tangu avae ana kama 1 week hivi hajafua na ana mke so anashndwa kuelewa kwann hafui ? Lakn jamaa akamuuliza swali kuwa umejuaje kuwa imechafuka ad kubadilika rangi na demu akajbu kuwa kuna siku aliinama na yeye akaiona so jamaa akawa hajaridhika na majibu ya demu wake.So ungekuwa wewe ungefanyaje kutatua swala hili ?