nipo online JF-Expert Member Joined Sep 10, 2022 Posts 1,379 Reaction score 3,152 Sep 29, 2024 #1 Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri.
Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri.
The-unknown JF-Expert Member Joined Feb 26, 2014 Posts 1,637 Reaction score 1,864 Sep 30, 2024 #2 Risk is everything,no risk no gain
mdukuzi JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 22,312 Reaction score 55,973 Sep 30, 2024 #3 Calculated risk,risk zingine utaishia pabaya
Mnachihanguuu JF-Expert Member Joined Feb 10, 2023 Posts 4,996 Reaction score 7,366 Oct 1, 2024 #4 Kama mwaka huu nimeamua nijilipue kulima heka 100 za ufuta
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 361,165 Reaction score 831,903 Oct 1, 2024 #5 nipo online said: Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri. Click to expand... Kwa kilimo cha bongo na huna mtaji wa kutosha unatafuta kifo cha ibada ya kwanza
nipo online said: Iwe biashara, kilimo, ufugaji, uvuvi nk. Lakini hakikisha unakua na uvimilivu wa kutosha lakini utakua upo katika nafasi kubwa ya kupata utajiri. Click to expand... Kwa kilimo cha bongo na huna mtaji wa kutosha unatafuta kifo cha ibada ya kwanza