Kama unataka kuolewa pita hapa

Kama unataka kuolewa pita hapa

Uwe unakuja na mada kama hizi,kushare nasi mazuri ili kutuandaa wengine ambao hatujaingia ndoani.
Haya v ntajitahidi, Ila sijui jana mjadala wenu uliishia wapi naona nakauzi kangu kamefutwa!
 
Unadhani bila kumtaja moniccca atamtaja Nani mwingine wengine mpaka wananiota cheza moniii nini wewe!
Moniccca jamaa muda si mrefu atapunguza spidi kwenye 6*6 maana sasahivi mtoto bado mbichi ndo maana mapenzi moto moto.ukiona ameanza kupunguza mapenzi kwako ujue kuna mjanja kakuzidi hivyo kwa heshima na taadhima usisite kunicheki PM ntakufuta machozi kwa kiwango cha juu haswa.Asante.
 
Moniccca jamaa muda si mrefu atapunguza spidi kwenye 6*6 maana sasahivi mtoto bado mbichi ndo maana mapenzi moto moto.ukiona ameanza kupunguza mapenzi kwako ujue kuna mjanja kakuzidi hivyo kwa heshima na taadhima usisite kunicheki PM ntakufuta machozi kwa kiwango cha juu haswa.Asante.
Hahahahaha, uzuri sijui kulia mwenzio kila siku ni vicheko kwenda mbele..
 
Nina zawadi yako nipe anuani moniccca
Niwape watu wa EMS
 
13055315_10154070688439299_7922951486172448514_n.jpg
duuh jamaa anawazia kitoroli style baada ya kumvua shera
 
Bilashaka watakao fungua uzi huu ni wadada tu, Wadada ukitaka kuolewa lazima ufanye yafuatayo.

1. Usionesha kama unashauku sana ya kuolewa.

2.weka vigezo vya mwenza unaemtaka.

3.usikubali kutoa penzi mapema tena ikiwezekana subiri mpaka siku husika.

4.Jitenge na makundi yasiyosemwa vizuri

5.Vaa mavazi ya heshima.

6.jenga uchumi wako ili usiwe tegemezi.

7. Epuka kubeba mimba kabla hujaolewa.

8. Achana na stori za kimbea

Ukiweza kufanya haya hakika hutabaki bila mwenza, kila la kheri.
Ahaaa wew dada umeibuka maarufu
 
Bilashaka watakao fungua uzi huu ni wadada tu, Wadada ukitaka kuolewa lazima ufanye yafuatayo.

1. Usionesha kama unashauku sana ya kuolewa.

2.weka vigezo vya mwenza unaemtaka.

3.usikubali kutoa penzi mapema tena ikiwezekana subiri mpaka siku husika.

4.Jitenge na makundi yasiyosemwa vizuri

5.Vaa mavazi ya heshima.

6.jenga uchumi wako ili usiwe tegemezi.

7. Epuka kubeba mimba kabla hujaolewa.

8. Achana na stori za kimbea

Ukiweza kufanya haya hakika hutabaki bila mwenza, kila la kheri.
No comment Nilijua tu utakuja na nyingine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom