ynna
Member
- Jul 13, 2017
- 59
- 25
TwendeMbuzi bei gani?
Tukifika kuna minada au tunapaswa kuzunguaka kwa wenyeji kuulizia?
Sent using Jamii Forums mobile app
halafu huko naskia miaka ya uchaguzi mvua huwa za shida ili yule mkuu wa hapa tunapokanyaga aje kugawa unga mumchague tena
Nipe direction,Huku bei ya mifugo ipo chini , ng'ombe na mbuzi! changamkia fursa kama unampango was kufuga au biashara kwa baadae!!!
ukishuka iringa unapanda daladala za kihesa kilolo nauli ya daladala ni mia nne unashukia njiapanda ya ismani hapo utapanda gari za ismani(nauli ni chini ya elfu tano)Nipe direction,
nikitaka kuja napanda gari za wapi??
Na Nashuka wapi??
ukishuka iringa unapanda daladala za kihesa kilolo nauli ya daladala ni mia nne unashukia njiapanda ya ismani hapo utapanda gari za ismani(nauli ni chini ya elfu tano)
Ndama bei gani?
Je , mtu akihitaji shamba la hao mifugo bei ya mashamba ipoje?
Maji yapo?
Mmasai utamjua tuNdama bei gani?
Je , mtu akihitaji shamba la hao mifugo bei ya mashamba ipoje?
Maji yapo?
Haha tulia wewe....Mmasai utamjua tu
Dar to Iringa,ukishuka iringa unapanda daladala za kihesa kilolo nauli ya daladala ni mia nne unashukia njiapanda ya ismani hapo utapanda gari za ismani(nauli ni chini ya elfu tano)
kwani mfano umetoka mbeya kwenda DAR huwezi kupanda gari nyingine au unaishi stendi?Dar to Iringa,
Iringa to Njiapanda ya Ismani
Njia panda ya Ismani to Ismani
Yaani gari tatu hadi ufike huko, basi hiyo bei ni sahihi kabisa
mkuu hiyo ilikuwa zamani siku hizi iringa imebadilika ukishuka stendi kuu hapo hapo unakutana na magari ya isimani nauli sh elfu mbiliukishuka iringa unapanda daladala za kihesa kilolo nauli ya daladala ni mia nne unashukia njiapanda ya ismani hapo utapanda gari za ismani(nauli ni chini ya elfu tano)
unaweza kupanda gari la mbeya-----dodoma ukashukia isimani maana isimani ni muunganiko wa vijiji vingi ila gari inayoenda dodoma inapita vyote ila ukipanda la mbeya mpaka dar ukishukia stendi itakulazimu uchukue daladala linaloenda isimani daladala zenyewe hazijaandikwa isimani unakuta zimeandikwa kihorogota,ngano,mkungugu,ilambilole,chamundi,chapuya hizo ndio sehemu za isimani kwa hyo mtoa mada hajataja isiman sehemu gani ila kama unaenda sehemu tajwa hapo juu daladala zpo nyingi hata gari ya dodoma na mtera zinapita hayo maeneo nauli buku mbili mpaka tatukwani mfano umetoka mbeya kwenda DAR huwezi kupanda gari nyingine au unaishi stendi?
anhaa mkuu basi mimi ni zamani kidogo niliwahi ishi iringa hapo kuna sehemu panaitwa gangilonga nasikia kwa sasa stand inaamishwa palemkuu hiyo ilikuwa zamani siku hizi iringa imebadilika ukishuka stendi kuu hapo hapo unakutana na magari ya isimani nauli sh elfu mbili
sijasikia hilo la kuhamishia stendi gangilongaanhaa mkuu basi mimi ni zamani kidogo niliwahi ishi iringa hapo kuna sehemu panaitwa gangilonga nasikia kwa sasa stand inaamishwa pale
sio gangilonga mkuu sorry ni igumbilosijasikia hilo la kuhamishia stendi gangilonga
aah hiyo ilikuwa mda ila wadau wa huku iringa walipinga walisema itachafua vyanzo vya mto ruaha kwa hiyo ilishindikanasio gangilonga mkuu sorry ni igumbilo