Kama unataka chumba maeneo ya Mwenge Napangisha

Kama unataka chumba maeneo ya Mwenge Napangisha

Tunzo

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2013
Posts
4,125
Reaction score
2,449
Napangisha chumba maeneo ya mwenge near TRA opzt magorofa ya jeshi kodi 80,000 kwa mwezi including maji na umeme, ina maana maji na umeme hulipii, HAKUNA DALALI, nyumba ina vyumba vinne vyoo viwili mabafu matatu ndani kwa ndani ina geti na maeneo ni salama na tulivu, VYUMBA VITATU TAYARI VINA WATU.

MASHARTI

1)- Kodi ni kuanzia miezi sita na kuendelea
2)- Uwe HUJAOA au KUOLEWA meas sitaki familia, ila haikatazwi kua na MPENZI,
3)- Napendelea mtu asiyezidi miaka 30 na asipungue MIAKA 18, Hapa napendelea vijana wenzangu
4)- Uwe unajishuguklisha na chochote, Mfano unafanya kazi, Mfanya biashara au Mwanafunzi wa chuo(Hakuna kubebana)

MAWASILIANO 0684448888 Itapatikana kuanzia J3 Tarehe 22/4/2013
 
Napangisha chumba maeneo ya mwenge near TRA opzt magorofa ya jeshi kodi 80,000 kwa mwezi including maji na umeme, ina maana maji na umeme hulipii, HAKUNA DALALI, nyumba ina vyumba vinne vyoo viwili mabafu matatu ndani kwa ndani ina geti na maeneo ni salama na tulivu, VYUMBA VITATU TAYARI VINA WATU.

MASHARTI

1)- Kodi ni kuanzia miezi sita na kuendelea
2)- Uwe HUJAOA au KUOLEWA meas sitaki familia, ila haikatazwi kua na MPENZI,
3)- Napendelea mtu asiyezidi miaka 30 na asipungue MIAKA 18, Hapa napendelea vijana wenzangu
4)- Uwe unajishuguklisha na chochote, Mfano unafanya kazi, Mfanya biashara au Mwanafunzi wa chuo(Hakuna kubebana)

MAWASILIANO 0684448888 Itapatikana kuanzia J3 Tarehe 22/4/2013
 
Haya watakuja ila masharti ya umri .....eti kijana mwenzangu sio tija, tafakari tena!!
 
Nlivyokuelewa, chumba kimoja then choo/bafu vya ku-share=80,000?.... Hujanikamata!
 
Nlivyokuelewa, chumba kimoja then choo/bafu vya ku-share=80,000?.... Hujanikamata!

haina shida kila mtu na uamuzi wake, kuna watakapenda
 
Napangisha chumba maeneo ya mwenge near TRA opzt magorofa ya jeshi kodi 80,000 kwa mwezi including maji na umeme, ina maana maji na umeme hulipii, HAKUNA DALALI, nyumba ina vyumba vinne vyoo viwili mabafu matatu ndani kwa ndani ina geti na maeneo ni salama na tulivu, VYUMBA VITATU TAYARI VINA WATU.

MASHARTI

1)- Kodi ni kuanzia miezi sita na kuendelea
2)- Uwe HUJAOA au KUOLEWA meas sitaki familia, ila haikatazwi kua na MPENZI,
3)- Napendelea mtu asiyezidi miaka 30 na asipungue MIAKA 18, Hapa napendelea vijana wenzangu
4)- Uwe unajishuguklisha na chochote, Mfano unafanya kazi, Mfanya biashara au Mwanafunzi wa chuo(Hakuna kubebana)

MAWASILIANO 0684448888 Itapatikana kuanzia J3 Tarehe 22/4/2013

Akiingia bachelor haruhusiwi kuoa, akioa tu notisi!! hahaha, kaaz kweli. Familia ni dhamana ndugu yangu, nilikuwa naskiaga tu kuwa kuna watu wana masharti kama hayo kwenye kupangisha!!
 
Akiingia bachelor haruhusiwi kuoa, akioa tu notisi!! hahaha, kaaz kweli. Familia ni dhamana ndugu yangu, nilikuwa naskiaga tu kuwa kuna watu wana masharti kama hayo kwenye kupangisha!!
haha ndio kaka najua mtu akioa anatafuta sehem kubwa zaidi
 
...wewe una shida ya hela tu! i don't think km eneo hilo ni la bei hiyo!!!
 
...wewe una shida ya hela tu! i don't think km eneo hilo ni la bei hiyo!!!
sina shida ya pesa ndo mana nikatoa hayo mashart nadhani huijui mwenge
 
Hapa sio mahali pa matangazo kaka hili ni jukwaa la kazi na tender tu:frusty:
 
Back
Top Bottom