chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
Mkuu, mbona kila gari unalifungulia topic yake?.
Binafsi naomba ufungue topic moja halafu kila Tangazo uliweka humo.
Mfumo huu unaotumia utawachosha wasomi na wataacha kukufuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naomba ufungue topic moja halafu kila Tangazo uliweka humo.
Mfumo huu unaotumia utawachosha wasomi na wataacha kukufuatilia.
Sent using Jamii Forums mobile app