agata edward
JF-Expert Member
- Nov 25, 2014
- 6,641
- 9,391
Amesahau huwa tunaambiwa ukiwa muongo usiwe msahaulifu.Unaoneka kuwa Mtunzi mzuri wa riwaya. Ila umekosea kidogo uliposema mpangaji mwenzio mlokole alikuliza "mkeo alianzwa lini...' Kiuhalisia asingestahili kuuliza kwa vile mnaishi nyumba moja na anajua hujaoa