Wapo karibu na mawasiliano tower kama unakwenda mwenge ukitokea ubungo, sijui mishahara yao ila kama upo serious ni PM nikupe namba ya mshikaji wangu anaefanya kazi pale waweza kuongea nae, pia niambie wewe ni KE au ME.
hii ni NGO ya kimataifa ambayo inadili na huduma kwa watoto wasiojiweza na wanaoishi ktk mazingira magumu, SOS wapo karibu na VICTORIA kituo cha mabasi inaoperate 133countries in the world, nimewahi kufanya nao interv wapo professional ktk maswali na yanahusisha na NGO moja kwa moja, me nilifaulu ila referee moja alikomenti negative ndiyo kaniua..mwingine alikomenti fresh kwa kujaza form ambazo waliwatumia.
wapo next to mawasiliano tower na kwa arusha wapo ngaramtoni