duuuuuuuuuuuhhh hizi ndoa Mungu aziponye tu maana simeshakua janga.Kama unafanya kazi zote za ndan mwenyewe na unyumba unakosa hii ni ndoa kweli? Unatoka job umechoka wife yupo na anasema amechoka unajipikia unatenga mwenyewe chakula na maji ya kuoga, na ukifika wakati wa kupata haki ya ndoa unanyimwa.
Sorry umeoa au umeolewa?Kama unafanya kazi zote za ndan mwenyewe na unyumba unakosa hii ni ndoa kweli? Unatoka job umechoka wife yupo na anasema amechoka unajipikia unatenga mwenyewe chakula na maji ya kuoga, na ukifika wakati wa kupata haki ya ndoa unanyimwa.
Kwanza nijibu maswali yangu ndo nikushauri!Rudia post Bro utaelewa, nadhan ni bora ukajielekeza katika kushauri.
hajui thamani yake huyu Mme!duuuuuuuuuuuhhh hizi ndoa Mungu aziponye tu maana simeshakua janga.
umenisaidia,nilitaka kuuliza kama amefundwa...Sorry umeoa au umeolewa?
Unajua haki na wajibu wa mume au mke ktk ndoa?
Unajua au kufahamu maana ya uanaume?
Unaruhusu mwanamke akupande kichwani....!!Najua.
Yaani nimepata hasira kama ndugu yangu vile...!umenisaidia,nilitaka kuuliza kama amefundwa...