salim kimosa
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 390
- 362
hivi wale walioimba ccm mbele kwa mbele hawajaachia nyimbo nyingine, bange bwana lakini nashangaa siaachi
Ipo siku watu mtatukuta wadi ya mifupa looohhhUkitaka kujua kweli wanaume tumeumbwa mateso we usivae boksa then kwa bahati mbaya ubanwe na zipu dadeki kama hutoimba acapela kwa sauti #1
,,,nd utajua nini maana ya elimu bure…!!*Ushawahi fanya mtihani halafu msimamizi kasimama sana nyuma yako akiangalia unachoandika kisha unamsikia akitangaza "jamani hakikisheni mnasoma vizuri maswali"*
We utanyonya hadi yasiyofaa"Kuna mbaba mmoja mtanashati.....akivaaga suruali zake huku mbele anakuwa katunaaaaaa, yaani natamani nimyonye tu." - Kuna wadada walikuwa wanasema haya juzi pale Break Point, Kinondoni.
ahaahaahaaaaaaa.!!! no kweli kabisa na ingekuwa rahisi sana kwa mwanaume yeyote kuuwapatia huko mara wakiachwa na hao ngedere...sijui nianze safari za maporini au vipi.!,!*Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa...*
*Trust me Kuna wanawake wangekuwa wanaishi misituni mda huu.....*
*Wanavyopenda hela*
Huyo hata akili ya kuku no refu kuliko ya kwake....teja wa maisha Hugo hafaiKuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba na nilimwambia hiyo afanyie mambo yake madogonadogo.
Baada ya siku 3 akaja kuniambia "Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3.
SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEM MWINGINE