mkabasia
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 2,809
- 2,371
Hahahahaha,cement 9800/=huku mjini.Nimekaa Nikafikiria Sanaaa!
Unga 50kg ni 78,000/=.
Na Cement 50Kg Ni 16,000/=.
Kumbe kujenga nyumba ni rahisi kuliko kujenga mwili!!?
Nisiskie tena mtu ana kitambi na hana nyumba!!!
/|>
/ /
_ Bongo_