Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

Nimekaa Nikafikiria Sanaaa!

Unga 50kg ni 78,000/=.
Na Cement 50Kg Ni 16,000/=.

Kumbe kujenga nyumba ni rahisi kuliko kujenga mwili!!?

Nisiskie tena mtu ana kitambi na hana nyumba!!!


/|>

/ /



_ Bongo_
Hahahahaha,cement 9800/=huku mjini.
 
Mwanaume asiye na mchepuko ni sawa na taifa lisilokuwa na chama cha upinzani ......na mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na taifa kuwa na kikundi cha waasi kinachoendesha vita ya wenyewe kwa wenyewe. Sitaki mapovu hapa........
 
Jamaa alikuwa na mkewe wakitalii mbuga za wanyama, ghafla wakamuona swala (gazelle) akikimbizwa na duma (cheetah).
Basi mke akamuambia mumewe "tupinge akikamatwa swala nasoma msg zako za WhatsApp, na asipo kamatwa milele sintasoma"! Angalia kilichotokea hapo!
 
Mchungaji: Pepo toka

Pepo akajibu: stoki

Mchungaji: Toka kwa jina la Yesu

Pepo: Stoki

Mchungaji: Nimesema toka kwa jina la Yesu

Pepo: Nimetumwa nije nikae kwa mtu huyu ili kesho aokote milioni 100.

Mchungaji kusikia hivyo akasema "Nimesema
toka uniingie mimi"
waumini:Aaaa.
CHEZEA PESA WEYE.‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂‍♂
 
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofika usiku unatakakutoka kwenda kujisaidi kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebleni kipindi unajalibu kupapasa uviweke sawa mala taa inawashwa na mama mkwe anaona umeshika vyombo anakwambia, baba kama hukushiba ungesema
Kesho yake asubuh ningesepa zangu tu
 
18581013_1516204465108790_1062721848451530752_n.jpg
 
Mlevi mmoja wakati yupo njiani anarudi kwake kaanguka kama mara 2 na kutoka manundu mawili usoni mwanawe wa kiume kamuona, akamuuliza "baba nini hizo usoni?"
Mlevi kajibu "Digrii hizi mwanangu, mi mlevi kwa muda mrefu sasa"

Ukimuona mlevi ana manundu usoni ujuwe hizo ni DIGRII
 
Back
Top Bottom