Tamati
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 1,085
- 1,956
Dx.Wala hazichekeshi
Dx.Wala hazichekeshi
yashanikuta hayo yaani inauma saana. Utatamani urudie tena kula ila ndio tumbo haliruhusuView attachment 512883
Aiseee inauma sana
Du!!!!!Mchungaji: Pepo toka
Pepo akajibu: stoki
Mchungaji: Toka kwa jina la Yesu
Pepo: Stoki
Mchungaji: Nimesema toka kwa jina la Yesu
Pepo: Nimetumwa nije nikae kwa mtu huyu ili kesho aokote milioni 100.
Mchungaji kusikia hivyo akasema "Nimesema
toka uniingie mimi"
waumini:Aaaa.
CHEZEA PESA WEYE.♂♂♂♂♂♂
Kweli ishu ya unga haimwachi mtu salamaTaarifa Zinazozagaa Mitandaon eti nmeteuliwa kuchukua nafasi ya Prof. Sospeter Muhongo naomba mzipuuze kwani hazina ukwel wowote na zina lengo la kuupotosha umma, miye nipo darasani najisomea......
Sasa huku kutamanishanaNi kama hifi.....
Utayavalia wapi haya?hayana maadili kabisa,ona liabdala lilikowekwa.Napenda mavazi ya kiutamaduni kama haya, hivi Kariakoo hawauzi?
Nataka niwe navaa
Hayana maafili wakati ndio mavazi ya kiutamaduniUtayavalia wapi haya?hayana maadili kabisa,ona liabdala lilikowekwa.
Kwao sawa,huku kwetu utaishia MIREMBE TUHayana maafili wakati ndio mavazi ya kiutamaduni