Kirokonya
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 2,280
- 7,535
Ndo umepiga mikonyagi night Kali kwenye kagizagiza unakutana na chombo hicho unapiga mashine mara asubuh unakutana na sura ngumu kumeza halafu inakuita bei
Halafu unaishi nyumba ya kupanga banda la uwani. Muda unataka kumtoa, wapangaji wenzako washaamka, wamekomaa hapo uwani! Na wewe unahitaji kuwahi kazini!Ndo umepiga mikonyagi night Kali kwenye kagizagiza unakutana na chombo hicho unapiga mashine mara asubuh unakutana na sura ngumu kumeza halafu inakuita bei
Sent using Jamii Forums mobile app