Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,007
- 13,799
Ukikutwa unatembea na mwanafunzi jela miaka-30
Sasa najiuliza ukikutwa unakimbia naye cjui itakuwaje
Sasa najiuliza ukikutwa unakimbia naye cjui itakuwaje
``AINA ZA USHUZI''
01. Sillent Ninja Killer- Hutoka kwa force kubwa halafu kimya kimya. Harufu yake ni kali sana. Ni nzuri kutumia uwapo katikati ya watu wengi.
02. Diarrheal Thunder- Hutokea mara nyingi unapojiskia kunya halafu ukabana kwa muda mrefu. Pale unapoenda sasa kupupu hutokea ngurumo kama za radi kabla ya kinyesi kushuka.
03. False Alarm- Huja kama vile mavi ila ukienda chooni ndo unajua kuwa ni ushuzi tu.
04. Releasing The Valve (Tester) - Hutokea pale unaposikia msukumo wa hewa tumboni ukiwa katikati ya watu wengi. Ili wasistuke unaachia kidogo kidogo mpaka umalize.
05. Suddenly Fart- Unapocheka sana, kupiga chafya, kukohoa kwa nguvu, kushtuliwa au kubeba kitu kizito unajikuta umekaachia. Uzuri wake hainuki sana.
06. The classic- Huwa na mlio mkubwa halafu ndo ushuzi mkubwa kuliko wote. Ukiwa umekaa na watu ukaachia ukinyanyuka lazima wakuangali nyuma kama hujapasua nguo.
...Mungu cyo athumani aisee
HahahahaMwanamke akikuudhi usimpige makofi wala usimtukane
Mvue tu wigi ukimbie nalo
DuuuuuuuuWe Jamaa ww respect
Android Phones can be annoying, how do i explain it?.. I just receive a notification now that my bible app need update.
Please what does the bible need update for?
Has Adam eaten another apple?
HA HA HA HASHULE ALIYOKUWA AKISOMA MDOGO WANGU MATOKEO YAPO HIVI
Div I =0
Div II=0
Div III=0
Div IV=0
Div 0= 96
Matokeo ya mdogo wangu bado sijayacheki
NAOMBEA AWE AMEFAULU TUU.
MbutaaaaaMIUJIZA NI NINI.?? miujiza ni hali ya msukuma kutumia dk 2 kwenye kuoga.
NA kutumia dk 30 kusugua yeboyebo