Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,591
- 4,326
Kutokana na hali ya uchumi kuwa mgumu huwezi amini mshahara wa dhambi haujashushwa.... bado ni mauti tu
Utapike kwani "kabua"sio mboga?Hivi unajua nyama ya kenge ni tamu kuliko ya kuku?Sie hapa Kibiti twala kambare wa Rufiji karibu Yakheee!!!!Nilimtembelea rafiki yangu mpendwa. Mkewe akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama tele.
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejazwa wali na kachumbari tu.
Baada ya kula nikamuuliza rafiki yangu, *"kulikoni watoto wale wali na kachumbari tu ilhali sisi tumekula minyama kibao?"*
Akanijibu kwa kujianini, *"sasa unategemea nifanye nini ikiwa wanasema wao hawali MBWA?"*
*Bado natapika*
Utapike kwani "kabua"sio mboga?Hivi unajua nyama ya kenge ni tamu kuliko ya kuku?Sie hapa Kibiti twala kambare wa Rufiji karibu Yakheee!!!!
huna mbavu??Yani nimesoma hiyo ya kwanza tu sina mbavu uwiiiiii ngoja niende ya pili
hahahahahaaaaaMabinti wa Mtwara sigegedi tena aisee kuna mmoja long time hapa mtaani nilikuwa nakavizia, juzi ndio nikakaona, kumpiga maneno tu yumo sasa shida ikawa sina hela ya gesti, kakakubali nikagegede kwenye pagala, kuingia ndani kuna matofali na mchanga. Ile kuanza mgegedo binti anasema "shika nchanga" mi nikashika mchanga, kakasema tena "chezea nchanga" mi nikaanza kuchezea mchanga, akasema tena "chezea nchanga kama ntoto" mi nikajimwagia michanga kichwani na mgongoni ile tunamaliza nimejaa mchanga mwili mzima kama nilikuwa nacheza judo
Chezea nchanga = chezea shanga
Wakati unajiandikia hilo li username ulijua unamkomoa nani?Msaaada..... kuchange user name jamii forum.....
Sorry for interu
Hahahahahahahahah*Ukiona Demu Kafika Ghetto kwako
Kwa mara ya kwanza Alafu Hajipig Selfie
Ujue Hilo sio Ghetto Ni Zizi la Ng,ombe*
hahaha NumbisaaaaaaNilimtembelea rafiki yangu mpendwa. Mkewe akatutengea wali kwenye sahani zilizojaa minyama tele.
Ajabu ni kwamba sahani za watoto wake zilikuwa zimejazwa wali na kachumbari tu.
Baada ya kula nikamuuliza rafiki yangu, *"kulikoni watoto wale wali na kachumbari tu ilhali sisi tumekula minyama kibao?"*
Akanijibu kwa kujianini, *"sasa unategemea nifanye nini ikiwa wanasema wao hawali MBWA?"*
*Bado natapika*
Hahahahaha aitseeee. ...*Ukiona Demu Kafika Ghetto kwako
Kwa mara ya kwanza Alafu Hajipig Selfie
Ujue Hilo sio Ghetto Ni Zizi la Ng,ombe*
Hahahaha*hivi hakuna hata nyumba moja kati ya zile zilizobomolewa zilizojengwa kwa NYATI CEMENT?* matangazo mengine banaa