Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,591
- 4,326
Daaah MUNGU anakuonaNimemwambia baba narudi chuo mapema kujiandaa na mitihani ya SUP eti anauliza SUP ndio nini?
Nimemjibu
"SPECIAL UNIVERSITY PEOPLE "
Naona ameniongeza hela na hongera juu
baba angu mtu wa Mwanza