Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

[HASHTAG]#1Post[/HASHTAG]
HIVI UNAJUA.

Ukimtumia demu M pesa au Tigo pesa ili aje alafu yeye akatoa hela halafu akakataa kuja unaweza kutumia kifungu cha 416(i) sheria ya mtandao kuwa amekutapeli kwa kusema uongo na anaweza akafungwa jela hadi miaka 7....
Lazima tunyooshane hakuna namna,Ila kama ni mwanafunzi nitamsamehee tuu maana mungu anasema samehe 7×70.
 
HUU KWELI NI UJUHA KABISA
Binti aligundua ameota nywele katikati ya miguu yake akawa na wasiwasi sana akaenda kumuuliza mama yake.Mama yake akamwambia kuwa hiyo sehemu iliyoota inaitwa nyani na ujivunie kuwa nyani wako ameota nywele, Binti akatabasamu katika chakula cha usiku Binti akamwambia dada yake"dada nyani wangu ameota nywele"dada yake akatabasamu na kusema"Wangu tayari ameanza kula NDIZI. Mama akazirai mezani...
 
IMG-20170925-WA0033.jpg
 
Mtoto alikua akibishana na baba yake akisema 1+1=11, baba akamwangalia kisha akasema vizuri sana,akamtuma kununua mayai mawili,mtoto akaenda kununua,aliporudi akamwambia nipe moja lingne mpe kaka yako,wakaendelea kula,mtoto akauliza Mimi nakula nini? Baba akajibu kula tisa yaliobaki mjinga wewe
hahahha
 
HUU KWELI NI UJUHA KABISA
Binti aligundua ameota nywele katikati ya miguu yake akawa na wasiwasi sana akaenda kumuuliza mama yake.Mama yake akamwambia kuwa hiyo sehemu iliyoota inaitwa nyani na ujivunie kuwa nyani wako ameota nywele, Binti akatabasamu katika chakula cha usiku Binti akamwambia dada yake"dada nyani wangu ameota nywele"dada yake akatabasamu na kusema"Wangu tayari ameanza kula NDIZI. Mama akazirai mezani...
Yoooohooooooo!!!
Nyani wa dada anakula ndizi
 
Back
Top Bottom