Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,402
- 40,307
Closed
Kiasi chochoteFedha kihasi gani ??
1. Biashara/UjuziKitu chochote kile iwe elimu, ujuzi au biashara inahitaji uwekezaji. Tunaelewa kabisa uwekezaji unahitaji kwanza fedha, muda, na watu.
Wengi tunashindwa kutimiza malengo yetu kutokana na kuwa na rasilimali chache na wakati mwingine kuwekeza sehemu zisizo sahihi.
Sasa tujiulize, kama una fedha kiasi, utawekeza kwenye elimu, ujuzi au utawekeza kwenye biashara? Na ni kwanini?
Elimu ya darasani ni ile inayowanyima vijana wengi ajira, na ujuzi ni kile kitu alichopata mhitimu kupitia aina yoyote ya elimu au mafunzo na akawa na uwezo wa kukitenda na kuonekana,ambacho pia kinaweza kumuwezesha kujiajiri.Elimu na ujuzi, tofauti yake nini?
Kwa nini umechagua hivyo mkuu?1. Biashara/Ujuzi
Kutokana na fani yako uliyosoma,unahisi unaweza kufanya biashara itakayoendana na fani yako?Nikipata kihasi kwanza Biashara then nikishatengeneza Cashflow nawekeza kwenye Skills ili nifanye Hustle zinazohitaji ujuzi nikishafanikiwa sana huo upande pesa ninazo accumulate nawekeza kwenye Biashara kubwa.
1)Fast Business
2)Skills Based Business
3)Starting Business Portifolio
Then Boooom
Fani yangu ya nini...kitu pekee fani yangu itanisaidia Duniani ni kunipa ajira ya serikali tu mbali na hapo ni takataka tu.Kutokana na fani yako uliyosoma,unahisi unaweza kufanya biashara itakayoendana na fani yako?
Uko sahihiFani yangu ya nini...kitu pekee fani yangu itanisaidia Duniani ni kunipa ajira ya serikali tu mbali na hapo ni takataka tu.