Kama una gari hizi mark II gx 100, Chaser ,cresta,corolla 100,111

Kama una gari hizi mark II gx 100, Chaser ,cresta,corolla 100,111

Gari ya milion 3 itakusumbua wewe Hadi uchanganyikiwe.
Tafuta gari kuanzia milion 6 na kuendelea pia kama hauna uzoefu wa Magari utapata shida sana
 
Kwenye comment Yangu sijaonesha upotoshaji Bali nimekuambia kama hauna uzoefu wa Magari usinunue gari za milion 3,Kwa uzoefu wangu mdogo najua wabongo wengi sio waaminifu hasa ukiuziwa gari la bei za chini.
Ushauri kama huu wanapewa watu ambao wanaanza kununua gari. Ni kweli kwa mtu ambaye ni Mara yake ya kwanza kununua gari ni bora akaenda Showroom au kuiagiza Japan. But kwa sisi wahenga huwa tunanunua hata gari zilizo juu ya mawe kabisa . Halafu kesho gari hiyo utaiona inatembea barabarani.
 
Ushauri kama huu wanapewa watu ambao wanaanza kununua gari. Ni kweli kwa mtu ambaye ni Mara yake ya kwanza kununua gari ni bora akaenda Showroom au kuiagiza Japan. But kwa sisi wahenga huwa tunanunua hata gari zilizo juu ya mawe kabisa . Halafu kesho gari hiyo utaiona inatembea barabarani.
Alijuaje kwamba wewe unauzoefu tiyari?
 
Kama una hizo gari . offer yangu ni 3.2M ,ziweka hapa au njoo Pm.
Nauza gari Cresta Gx 100 kwa milioni 2.5 lipo katika hali nzuri mno nauza kwakuwa ninashida. Huez pata kirahisi gari kwa bei ya pikipiki, nakuruhusu uje na fundi wako unaemwamini tuweke mafuta tupige misele siku nzima tukila mziki mkubwa, utasibitisha gari ni zur halina shida yeyote. shida n mm tu nina shida na hela...

nicheki whatsp kwa more info 0756086125. au nipigie.
 
Nauza gari Cresta Gx 100 kwa milioni 2.5 lipo katika hali nzuri mno nauza kwakuwa ninashida. Huez pata kirahisi gari kwa bei ya pikipiki, nakuruhusu uje na fundi wako unaemwamini tuweke mafuta tupige misele siku nzima tukila mziki mkubwa, utasibitisha gari ni zur halina shida yeyote. shida n mm tu nina shida na hela...

nicheki whatsp kwa more info 0756086125. au nipigie.
OK
 
Gari ya milion 3 itakusumbua wewe Hadi uchanganyikiwe.
Tafuta gari kuanzia milion 6 na kuendelea pia kama hauna uzoefu wa Magari utapata shida sana
Sio kweli ,, nilinunua x110 million tatu ya muhindi no A ,, nilibadili tu bearing za mbele na ball joint..


Seal za kwenye plug ilikuwa na leakage ,,nikaweka na oil ya gearbox na gasket ya engine na gearbox ..na plug mpya ..gari ilipaki muda ikawa inakunywa mafuta sana

Baada ya hapo ikawa biyee mzigo unanguruma kama V8 ..engine inaita ni no A body safi kama mpya interior safi na mngurumo hata wenye vanguard huwa wananiangalia nikipita wakati ni pesa ndogo sana nimetoa

Ni 1G FE VVTi
 
Ushauri kama huu wanapewa watu ambao wanaanza kununua gari. Ni kweli kwa mtu ambaye ni Mara yake ya kwanza kununua gari ni bora akaenda Showroom au kuiagiza Japan. But kwa sisi wahenga huwa tunanunua hata gari zilizo juu ya mawe kabisa . Halafu kesho gari hiyo utaiona inatembea barabarani.
Wakati naanza Anza kufuga ..Kuna mtu alikuwa ananunua hata kuku wagonjwa wanamafua kabisa wakati Mimi nilikuwa nawaogopa najua hawatoboi kumbe yeye ni mzoefu na ufugaji

Baada ya muda na mimi nikawa najua huduma za kuwapa kuku kulingana na magonjwa Yao

Ni sawA na mfano wako wa gari ukifahamu kitu hakiwezi kukusumbua
 
Wakati naanza Anza kufuga ..Kuna mtu alikuwa ananunua hata kuku wagonjwa wanamafua kabisa wakati Mimi nilikuwa nawaogopa najua hawatoboi kumbe yeye ni mzoefu na ufugaji

Baada ya muda na mimi nikawa najua huduma za kuwapa kuku kulingana na magonjwa Yao

Ni sawA na mfano wako wa gari ukifahamu kitu hakiwezi kukusumbua
Uliyosema ni kweli?
 
Gari yangu ya kwanza ujanani niliyonunua mwaka 1991 ilikuwa ni Toyota Cresta Super Lucent model ya mwaka 1987 kama hii hapa. Ilikuwa gari ya kuaminika sana enzi hizo kwani ilikuwa na injini yenye nguvu na nzito ikiwa stable sana barabarani pamoja na barabara za makorongo tulizokuwa nazo enzi hizo. Nilikuwa nimeagiza Toyota Cressida kutoka kampuni iliyokuwa inajulikana kama Autorec, lakini wao wakniletea Cresta

1755306025869.png
 
Gari yangu ya kwanza ujanani niliyonunua mwaka 1991 ilikuwa ni Toyota Cresta Super Lucent model ya mwaka 1987 kama hii hapa. Ilikuwa gari ya kuaminika sana enzi hizo kwani ilikuwa na injini yenye nguvu na nzito ikiwa stable sana barabarani pamoja na barabara za makorongo tulizokuwa nazo enzi hizo. Nilikuwa nimeagiza Toyota Cressida kutoka kampuni iliyokuwa inajulikana kama Autorec, lakini wao wakniletea Cresta

View attachment 3442626
Hizi Gari nzuri
 
Back
Top Bottom