Antonio de Guzman
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 6,706
- 12,446
Nimemis kwenda kuwinda ndege na Ile kujikusanya timu ya Mtaa kwenda kucheza na mtaa mwingine
Haha ilo movie la kivita limenichomokaMniga analiwa na mamba dah ile movie inaitwaje ile mhenga mwezangu
Mniga analiwa na mamba dah ile movie inaitwaje ile mhenga mwezangu
Haha ilo movie la kivita limenichomoka
Kama namuona yule niggha anavyopiga kelele;
The Hard way, the only way.Lile limuvie lilikua linaitwa the hard way, lilikua la kibabe hatari
Namba 11 ndio nilikuwa Fundi Wa kuchonga vifutio na kuiba ndara za watuWale mliozaliwa miaka ya 1995 kurudi nyuma mnayakumbuka haya?
1. Kung'oa jino kwa kutumia Uzi
2. Kupamba kadi na pamba sebuleni
3. Ubwabwa kupikwa jumapili tu
4. Ukumbi wa starehe kupambwa kwa toilet paper
5. Kunyolewa kwa mkasi
6. Kufunga hela kwenye leso au pindo la kanga
7. Wavulana kuvaa nguo ya ndani ya aina moja (VIP) usiombe ikakatika utakuta imebana kifua
8.Kurewind kanda kwa peni
9. Nchi nzima kuangalia movie ya komando John, double impact, Rambo na Blue three.....
10. Watoto wote wa mtaa mmoja kufahamiana kwa sababu ya kucheza kombolela na kibaba baba...
11. Kukata ndala kuwa mfutio
12. Kunyolewa msalaba ukiwa na nywele ndefu
13.Shati la shule kuweka vibox mgongoni
14. Kuchomolea shati nyuma
15. Kuweka shati la shule blue
16. Kusimamisha kola ndio ubitozi/usela
17. Ukimuandikia barua kwa umpendaye lazima uchore moyo na mkuki na lazima upulizie pafyumu ya "Yu"
18. Hata kama mligombana January unaambiwa subiri shule ifunge.
Je wewe unakumbuka kipi?
Acha kabisa Yaan bonge moja la limuvii hatarii na lile limuvii la war bus kama nawaona wavietnam walivyowapa kipigo cha mbwa koko wamarekani Mpaka wakakimbiaLile limuvie lilikua linaitwa the hard way, lilikua la kibabe hatari
Bila kumsahau Cynthia khan9. Amercan ninja, movie za akina dolph/snipes/jet li /don yen
Hakukuwaga na mambo ya love stories
Mimi mpaka leo nmeshalemaa nazo siangaliagi movie zingine
Hahaha umeikumbuka ni hard way kweliLile limuvie lilikua linaitwa the hard way, lilikua la kibabe hatari
Mtumishi naomba ni-zoom vitu vizuri, mimi hapo tu wala sina tatizo na sitaki vingineMie umri huo sijafika mzee baba...
Manengelo ulimbo, umenikumbusha mbalii, mnaenda sehemu makundi ya ndege yanapita mnatega ulimbo wenu hapo wakipita tu wananasa ninyi nikuwahi kwenda kuchukua na kuvunja miguu, yani nikuwavuna tuuNa ulimbo
Mtumishi naomba ni-zoom vitu vizuri, mimi hapo tu wala sina tatizo na sitaki vingine
Kwa hiyo mzee mama , wakina sie tunaweza jaribu bahati zetu hapo kati patamuMie umri huo sijafika mzee baba...
nilitaka nipite tu bila ku comment ila hii wowowo nimeikumbuka sanamiaka hiyo hata JOICE WOWOWO alibamba kinoma mtaani
Ni nini tena mtumishi, kipindi kizito kama zege la jioni?hiyo statement imenichekesha, pole sana..mapito tu hayo!!!mtumishi usinaharibie ahadi yangu mwenzako jaman..nqptia kipindi kizito mnooo km zege la jioni..nan kiu na maji sina
😂😂sauti za mafarisayo,ila waliotafsiri kwa kiswahili waliua.hahahahaa hii kali...hii ndo naiskia kwako hahahaha...mienakumbuka shule weknd matron anawawekea mikanda ya mafundisho..mfano ya ukimwi..au mkanda wa Yesu..hahhaha...mkanda wa Yesu had ĺ eo nikiuskia sehem neno linalofuata nalijua ..yaa niliushika balaa...doh .
😂😂sauti za mafarisayo,ila waliotafsiri kwa kiswahili waliua.