Kama uko Zanzibar nitafute

Kama uko Zanzibar nitafute

Ni kweli nawe kila la kheri katika mihanjo yako

Andamana na watu wanaokufanya uwe na furaha na amani, haya maisha si kitu kama hauna furaha na amani ya moyo
 
niliwahi kukaa sehemu moja CCM wakati napata zangu kinywaji akaja jamaa mmoja akaomba kukaa na mimi nikasema poa (ugeni huu) baadae alikuja jamaa mmoja namfahamu akaniuliza umekuwaje wewe?

maana story zilikuwa zinaenda kama kawaida, akahama akaenda kaunta akanitumia msg kuwa hilo jamaa ni shoga na hapo wanaomjua watajua umebeba mzigo.

nilihama dakika hiyo hiyo.
Duu ni shida aisee ila kiukweli Zanzibar pia kwa sasa imechafuka ushoga umetamalaki kila pembe
 
Balaa sana.

Majuzi kulikuwa na iftaari imeandaliwa spesheli kwa ajili ya mashoga na wasagaji pale maeneo ya kariakoo kuna holi mule ndani basi mahoga walijazana na wasagaji,hyo ilikuwa special kwa ajili yao tu

Basi mkuu wa mkoa akaishtukia akawaandama na kuwatimua,walilalamika sana na kuona wameonewa...
Duu ni shida aisee ila kiukweli Zanzibar pia kwa sasa imechafuka ushoga umetamalaki kila pembe
 
Balaa sana.

Majuzi kulikuwa na iftaari imeandaliwa spesheli kwa ajili ya mashoga na wasagaji pale maeneo ya kariakoo kuna holi mule ndani basi mahoga walijazana na wasagaji,hyo ilikuwa special kwa ajili yao tu

Basi mkuu wa mkoa akaishtukia akawaandama na kuwatimua,walilalamika sana na kuona wameonewa...
Inasikitisha dunia ndo imefikia hapo ndugu tumuombe sana Mungu watoto wetu wasiangukie katika hii aibu
 
Ndo la muhimu mkuu.

Zenji ushoga nje nje.

Kuna jamaa majuzi nilimuona maeneo ya posta amebeba kikapu na shati la kitenge aisee anatbea kwa pozi,mshua mmoja akamsalimia akaitikia "siijaaamboooh!!!" watu wakasema lahawlaaaa!!!!!
Inasikitisha dunia ndo imefikia hapo ndugu tumuombe sana Mungu watoto wetu wasiangukie katika hii aibu
 
Ndo la muhimu mkuu.

Zenji ushoga nje nje.

Kuna jamaa majuzi nilimuona maeneo ya posta amebeba kikapu na shati la kitenge aisee anatbea kwa pozi,mshua mmoja akamsalimia akaitikia "siijaaamboooh!!!" watu wakasema lahawlaaaa!!!!!
Duuuh!!ndugu haya mambo tukiyaona tunacheka lakini ndo vijana wenzetu wanapotea inaskitisha
 
Nina milioni 2 ya kuchezea kama kuna mwana jf yeyote yupo Zanzibar anichek tukaitumbue vunja mifupa kama nyama bado iko

Atachagua mwenyewe twende nungwi jambiani twende fumba chuini au forodhan huyu kijana aliimba aisee

Just tulifresh mind tucheke tuinjoy huku tukikumbushana story za akina britanicca Mshana Jr Kasie Miss Natafuta MO11 Shunie Informer barafu.......aisee list ni ndefu long live jf!!

Ladies watapewa kipaumbele
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom