Kama tuhuma zote anazotoa Makonda ni za kweli,basi waliopokea milioni tano wakamatwe

Watu wameshamstukia anyayoongea yote ni kutafuta misifa ili apewe cheo kikubwa zaidi ya ukuu wa mkoa. Ndio maana anafanya mambo yaliyo nje ya mamlaka yake. Na fitina juu.
 
Watu wameshamstukia anyayoongea yote ni kutafuta misifa ili apewe cheo kikubwa zaidi ya ukuu wa mkoa. Ndio maana anafanya mambo yaliyo nje ya mamlaka yake. Na fitina juu.
Sifa kubwa ni kwa RC wa Mwanza na RPC wake. Zoezi la kimyakimya limezaa matunda huko Mwanza. Hili la huku Dar la kutangaza watu kwenye media halikua sahihi. Limewapa mwanya watu kujiandaa. Nafikiri haikuwa sahihi.
Vita hii ipiganwe kwa njia sahihi kama walivyofanya Mwanza. Mtuhumiwa anavamiwa tu.
 
Sifa kubwa ni kwa RC wa Mwanza na RPC wake. Zoezi la kimyakimya limezaa matunda huko Mwanza. Hili la huku Dar la kutangaza watu kwenye media halikua sahihi. Limewapa mwanya watu kujiandaa. Nafikiri haikuwa sahihi.
Vita hii ipiganwe kwa njia sahihi kama walivyofanya Mwanza. Mtuhumiwa anavamiwa tu.
Naam, Mwanza wamewafundisha kazi makonda na sirro.
sirro badala ya kuzingatia proffession yake anacheza ngoma ya makonda.
 
Makonda tunataka kuwajua hao ni wauza Manawa au ni akina nani.

Kama wamefikia hatua ya kukuhonga si waharifu hao? Mbona hujatwambia hatua ulizochukua? Na Sirro pia ulimtaja kuchukua hiyo hongo.

Shida nini?

Vita ya Dawa au Siasa.
 
Makonda tunataka kuwajua hao ni wauza Manawa au ni akina nani.

Kama wamefikia hatua ya kukuhonga si waharifu hao? Mbona hujatwambia hatua ulizochukua? Na Sirro pia ulimtaja kuchukua hiyo hongo.

Shida nini?

Vita ya Dawa au Siasa.
Mbona hawakamati na kuwahoji polisi???
Na Makonda kasema sisha ni madawa ya kulevya....
Au hawa wataitwa awamu ya 60 ya watuhumiwa?
Huyu boss wangu simuelewi kabisa.
 
Atutajie sasa waliotaka kumhonga yeye na sirro ni akina nani kwa sababu anawafahamu.
Inawezekana hao ndio wahusika wakuu wa madawa ya kulevya.
 
Sifa kubwa ni kwa RC wa Mwanza na RPC wake. Zoezi la kimyakimya limezaa matunda huko Mwanza. Hili la huku Dar la kutangaza watu kwenye media halikua sahihi. Limewapa mwanya watu kujiandaa. Nafikiri haikuwa sahihi.
Vita hii ipiganwe kwa njia sahihi kama walivyofanya Mwanza. Mtuhumiwa anavamiwa tu.
Hata kama wamefanya hiyo kazi kiufundi Bali hawatajulikana kwasababu kazi hiyo hawajaifanya kama mkuu wa kaya anavyotaka ifanywe.

Yeye anataka ifanywe kwa makelele hadi watu waliopo manerumango wasikie,kwamba Kuna kazi inafanyika,sasa kama wamefanya kimya kimya imekula kwako.Hongera Madriver endelea kubweka wanyama wataziba masikio wakikusubiri uwakamate.
 
Sifa kubwa ni kwa RC wa Mwanza na RPC wake. Zoezi la kimyakimya limezaa matunda huko Mwanza. Hili la huku Dar la kutangaza watu kwenye media halikua sahihi. Limewapa mwanya watu kujiandaa. Nafikiri haikuwa sahihi.
Vita hii ipiganwe kwa njia sahihi kama walivyofanya Mwanza. Mtuhumiwa anavamiwa tu.
Hao wanania ya kutokomeza kweli.
 
Hata kama wamefanya hiyo kazi kiufundi Bali hawatajulikana kwasababu kazi hiyo hawajaifanya kama mkuu wa kaya anavyotaka ifanywe.

Yeye anataka ifanywe kwa makelele hadi watu waliopo manerumango wasikie,kwamba Kuna kazi inafanyika,sasa kama wamefanya kimya kimya imekula kwako.Hongera Madriver endelea kubweka wanyama wataziba masikio wakikusubiri uwakamate.
Sisi tunataka tuonekane tunafanya kazi ili tupate sifa.ebooooh
 
Aliwataja baadhi ya makamanda, kuwa wamepokea hongo ambayo yeye aliikataa.Kama tunamuamini Makonda,kwa nini aliowatuhumu wasikamatwe na takukuru wakahojiwa?
mimi nadhani shida ya makonda alifikiri vita dhidi ya dawa za kulevya ni politics, Waandishi wa habari mtusaidie kuwahoji makamanda wa polisi Siro &Mangu kama walishirikishwa ikiwa ndio wamepoteza uelewa wa taaluma yao kama hapana wasidandie gari kwa mbele maana kuna kesho makonda ataondoka je wataendelea kutangaza au watakaa kimya?
 
Back
Top Bottom