Mandown
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 1,665
- 503
Wanabodi
Nimetafakarikwa kina kuhusu hatma ya uwakilishi wa jimbo la Arusha mjini.Mahakama imetoa hukumu ya kihuni mno,imejidhalilisha sana.Natambua kuwa CHADEMA imeipinga na kukataa rufaa.Ushauri wangu kwa viongozi wa CHADEMA kuwa uwezekano wa kushinda rufaa ni mdogo,hasa ikizingatiwa kuwa Lema hatakiwi kabisa na mfumo,hivyo ni muda mwafaka wa CDM kujiandaa na kumwandaa kamanda mwingine atakayegombea jimbo hilo,na hapa nikamkumbuka Nanyaro diwani wa levolosi.
Huyu Nanyaro i kamanda wa ukweli,ni mtaratibu,mpole,ila mwenye hekima na kipaji cha uongozi,nimezungumza na makundi kadhaa hapa A town,na wengi wanamwamini sana,wengi wanaamini ndiye nguzo kuu ya cdm hapa Arusha,na ushindi wa Lema alichangia kwa asilimia kubwa,imani kubwa imejengwa baada ya kuanza kutekeleza ahadi zake kwa wanalevolosi hasa ujenzi mkubwa wa barabara unaoendelea.Cdm msimamisheni Nanyaro Arusha mjini.Wengi wanamfanisha Lema na Nanyaro kama Musa na Joshua,kuwa Musa aliwatoa wana wa Israel misri ila Musa hakufika nchi ya ahadi,bali aliyewafikisha ni Joshua(Nanyaro)
KAMPENI NDANI YA CHAMA ZISHA ANZA..........! lema akikusikia wewe,