wewe ni kilaza kama huyo Lema kwa hiyo hata ww unafaa tu!..
Naona Lema anachezewa mchezo mchafu toka pande zote mbili!Nampendekeza Kamanda Nanyaro Ephata!
Mkuu piganieni Lema arudi kwenye nafasi yake! Duh naona Lema kama ananyanyapaliwaHii hoja niliitarajia, nilikuwa nasubiri tu kuona nani kaianzisha na sababu zake ni zipi.
Hata arumeru visingizio vilikuwa vya namna hii lakini mwisho wa siku arumeru mashariki wamejipatia mbunge bora kabisa na makini.
Kimsingi siungi hoja mkono hata kidogo. Dr. Slaa alishahama huko majimboni na wanachama wenye uwezo mkubwa ni wengi sana kwahiyo ni nafasi yao kuonyesha uwezo.
acheni hizi habari bana, magamba wamesha tuudhi sana,Wapendwa wana jf wa Arusha na Tanzania nzima.Hivi kama Kipenzi chetu Lema akizuiliwa kugombea, Chadema imsimamishe nani? Kwanini tusiwaombe viongozi wa cdm wamsimamishe Bata au Nguruwe halafu tumpitishe kwa ushindi wa kishindo kwa ajili tu ya kuyakomoa magamba? Nawasilisha.
ccm itampisha Chitanda!!