sijazaliwa
JF-Expert Member
- Dec 11, 2014
- 207
- 141
Mr pasco. hii nchi haiwezi kwenda bila dictator hata kidogo. wacha afanye aonavyo yeye yafaa ila wananchi tunufaike. unadhani sisi wananchi wa kawaida inatusaidia nn hiyo democrasia kama haijibu matwakwa yetu. go go go MR PRESIDENT.