kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,000
- 17,909
Kama sio Iran basi magaidi wangekua wameiteka Ulaya yote na Africa!!
Kama sio msimamo na nguvu za Jamhuri ya kiislam ya Iran leo hii ulaya yote na Africa ingelikua chini ya magaidi hatari wa ISIS/ Daesh na makundi mengine magaidi wengine.
Iran ikaingia kuwafyeka magaidi wa ISIS bila kusita na Russia nayo ikafuata
Leo hii dunia imeokolewa na Iran na Russia
Kama sio Qassem Suleiman leo hii Africa na huku tz tungekua tumeshatekwa na magaidi bara zima.
Kama sio msimamo madhubutu wa Jamhuri ya kiislam ya Iran chini ya shujaa Ayatollah hujatil Islam Ayatollah Ali khamenei tungelikua tulishaisha.
Kumbuka hao magaidi na matakthiri waliofurutu mipaka walitengenezwa na Marekani na Utawala wa kizayuni wa Israel.
Na ndo maana ni ngumu kuitenganisha Israel na ISIS au Marekani na AlQaeda.
Israel ni mama wa magaidi
Marekani nae ni baba wa ugaidi
Kama sio msimamo na nguvu za Jamhuri ya kiislam ya Iran leo hii ulaya yote na Africa ingelikua chini ya magaidi hatari wa ISIS/ Daesh na makundi mengine magaidi wengine.
Iran ikaingia kuwafyeka magaidi wa ISIS bila kusita na Russia nayo ikafuata
Leo hii dunia imeokolewa na Iran na Russia
Kama sio Qassem Suleiman leo hii Africa na huku tz tungekua tumeshatekwa na magaidi bara zima.
Kama sio msimamo madhubutu wa Jamhuri ya kiislam ya Iran chini ya shujaa Ayatollah hujatil Islam Ayatollah Ali khamenei tungelikua tulishaisha.
Kumbuka hao magaidi na matakthiri waliofurutu mipaka walitengenezwa na Marekani na Utawala wa kizayuni wa Israel.
Na ndo maana ni ngumu kuitenganisha Israel na ISIS au Marekani na AlQaeda.
Israel ni mama wa magaidi
Marekani nae ni baba wa ugaidi