Kama si kubebwa Yanga hata nafasi ya 4 hawapati

Alipiga mikono ya kipa badala ya mpira
Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?

Unakumbuka zile draw za mwanzoni mwa msimu mlikua mnasema mnakamiwa GSM katoa hela?

Yaani timu zinapocheza na simba zinatakiwa ziachie magoli isionekane wanakamia. Vip ndo mmenyimwa goli la makambo kwa mazingira hayo. 😁
 
Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?

Unakumbuka zile draw za mwanzoni mwa msimu mlikua mnasema mnakamiwa GSM katoa hela?

Yaani timu zinapocheza na simba zinatakiwa ziachie magoli isionekane wanakamia. Vip ndo mmenyimwa goli la makambo kwa mazingira hayo.
Msimu uliopita Simba imekataliwa magoli mengi tu.
Mojawapo ni goli la Onyango dhidi ya Gwambina na hakuna malalamiko makubwa yalitolewa.

Siku Yanga inacheza na Geita msimu huu, Geita walinyimwa penati ya wazi kabisa ambayo ilifanana kimiondoko kama penati ya Yanga dhidi ya Biashara.
Mshambuliaji wa Geita aliingia kwenye Box kama Moloko, akablokiwa kwa mieleka ya mikono pamoja na miguu akadondoka na kudondokewa na Beki juu yake.
Hakuna Penati.
Ileweke Basi hizo timu Kubwa mnazoziona kama zinajua mpira kumbe asilimia kubwa zinategemea kubebwa na Waamuzi au Zinawanunua Waamuzi.
 
Yule mwamuzi toka mpira unaanza alikuwa anawatafutia utopolo ushindi, mara faulu ila biashara wakichezewa wanapeta ni swala la muda mambo ya waamuzi kupigwa yatajirudia
...Mnajivika upofu tuu makolo fc..goli la makambo, biashara united kupoteza muda, referee kutotoa kadi za njano kwa rafu mbaya za Biashara united, vyoteee hivyo mnajifanya hamkuona, pambaneni na hali zenu
 
Msimu uliopita Simba imekataliwa magoli mengi tu.
Mojawapo ni goli la Onyango dhidi ya Gwambina na hakuna malalamiko makubwa yalitolewa.

Siku Yanga inacheza na Geita msimu huu, Geita walinyimwa penati ya wazi kabisa ambayo ilifanana kimiondoko kama penati ya Yanga dhidi ya Biashara.
Mshambuliaji wa Geita aliingia kwenye Box kama Moloko, akablokiwa kwa mieleka ya mikono pamoja na miguu akadondoka na kudondokewa na Beki juu yake.
Hakuna Penati.
Ileweke Basi hizo timu Kubwa mnazoziona kama zinajua mpira kumbe asilimia kubwa zinategemea kubebwa na Waamuzi au Zinawanunua Waamuzi.
Pamoja na hayo yote Yanga amecheza na geita kwenye hiyo hiyo mechi unayosema goli mbili za Yanga zikakataliwa.
 
Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.

Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.

Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.

Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Kama sio zile kadi nyekundu game nne mfululizo na penalti mbili Makolo sasa hivi wangekuwa bondeni huko.
 
Msimu viongozi wa Simba sasa hivi kwao kujitetea ni rahisa sana,Simba ikifanya vibaya utawasikia "........hela za GSM hizo.........".

Simba msimu timu hamna, unaenda shirikisho unamtegemea Mkude na Mzamiru, subirini muone mtakavyo pelekewa kwenye hayo makundi.
 
Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.

Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
Hivi zile kelele za Mashabiki wa UtOPoLo,kuwa marefa wote , bodi ya ligi+Tff ni damu,mbona hakuna kelele Wala malalamiko kulialia kutoka Utopolo. ? kulikoni?
 
Vuta picha lile goli la makambo wangenyimwa biashara au simba. Humu kungekalika?

Unakumbuka zile draw za mwanzoni mwa msimu mlikua mnasema mnakamiwa GSM katoa hela?

Yaani timu zinapocheza na simba zinatakiwa ziachie magoli isionekane wanakamia. Vip ndo mmenyimwa goli la makambo kwa mazingira hayo.
hata Show me the way alifanyiwa figisufigisu na refa,alipotaka kumtungua mnadaka mishale,msimu huu uToPoLo mnabebwa Sana.
 
Simba imetoa suluhu n Coaster Union bila jaribio la Penati.
Namungo imefungwa na Simba dakika za Nyongeza bila jaribio la kupewa penati.
Biashara Simba imepewa penati halari dakika za mwisho John Boko akakosa.
Yanga haijawahi kutoka suluhu msimu huu bila kupewa penati dakika za lala salama eg.mechi dhidi ya Namungo.

Marefa hawajisikii usalama msimu huu labda kama Yanga itafungwa au kutoka Sare.
Labda wanaogopa presha ya mashabiki.
Vipi penati na kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Baishara, dodoma jiji na Polisi Tanzania? Halafu penati akipewa Simba ni za halali ila akipewa Yanga sio halali. Haya tuzungumzie penati ya jana. Kwa ulivyoona wewe Moloko kajidondosha?
 
Wakati mwingine kosa ni la waamuzi.
Kama mechi na Namungo.
Hivyo tim zinapaswa kuchukua tahadhari kubwa dakika za lala salama ili hata Mwamuzi asipate fulsa ya kufanya kosa.
Mfano. Kuacha kuchezea mpira eneo la Penati kuwanyima nafasi wanaojidondosha kwa kishirikina na waamuzi.
Halafu Kama mnajua sana urefarii, kwanini mechi ya Prisons dhidi ya Yanga Saidoo kachezewa faulo ya wazi kabisa lakini hamkuanzisha uzi kumlaumu refa kwa kuwanyima Yanga penati ya wazi?
 
Sasa na nyie Makolos so muhonge au muamue kubebwa..
Ety mechi ni ya Yanga Mikia sijui mnaumia nn jamani...

This is Young
 
Ameua move za biashara wakati wapo kwenye nafasi ya kupata bao.Hili lilifanywa maksudi.Hii ndiyo michongo
Tukiachana na mechi ya Namungo ambayo ilikuwa dhahiri Yanga ilibebwa. Tuongelee mechi ya jana je wapi refarii aliwabeba Yanga? Je Moloko hakusukumwa? Vipi lile goli la tatu lililokataliwa ambapo baada ya Azam kufanya marudio kipa wa biashara hakuguswa na pia hata mpira wenyewe hakuukamata
 
Kama ni hizo mbona Morrison anadondoshwa sana ndani ya box na waamuzi wanapeta?

Kama ni penalty za jinsi hiyo Simba wangekuwa nazo nyingi sana
Vipi penati na kadi nyekundu kwenye mechi dhidi ya Baishara, dodoma jiji na Polisi Tanzania? Halafu penati akipewa Simba ni za halali ila akipewa Yanga sio halali. Haya tuzungumzie penati ya jana. Kwa ulivyoona wewe Moloko kajidondosha?
 
Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.

Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.

Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.

Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Kashabikie hata Karata soka huiwezi.
 
Hivi utaahira mtaacha lini ninyi ng'ombe? Yanga kabebwa kwenye tukio gani Jana? Hivi lile goli la Makambo wangefunga mbumbumbu au Biashara likakataliwa si ungevaa boxer kichwani wewe taahira? Simba ina mashabiki viazi mbatata sana aisee
Ww jiheshimu sio kututusi kukalia kwako milinda nyeusi isiwe kelo kwetu wana simba
 
Simba walishtuka mapema ,huu udhamini wa GSM umehamishwa kwenye marefa,hii ni aibu kubwa.

Yanga hata kama mmepania ubingwa si kwa style hii,mpira umehamia kwa marefa.

Ndo maana Simba ikaona ni upuuzi mdhamini wa ligi anashangilia timu.

Hongereni mwaka huu marefa lazima wawe matajiri.
Wewe ni mpumbavu,yanga inanyimwa magoli wazuwazi huoni

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
UTO hizi mechi kadhaa, wanapata ushindi wao kwa taabu Sana na michongo.

Ila ile mechi na Namungo jamaa walikufa kifo halali, mwamuzi bila aibu anatoa penalty yenye utata(tuseme ya uongo) ili kuwaokoa jamaa ambao siku ile walikufa kabsa 1-0.
Na hii mechi ya biashara ilikua ni sare either ya 1-1 au 2-2 kama mwamuzi angekua mtu fair
 
UTO hizi mechi kadhaa, wanapata ushindi wao kwa taabu Sana na michongo.

Katika mazingira kama ya mechi ya Namungo au ile ya Biashara, assuming Yanga anatuwakilisha kwenye mashindano ya kimataifa na mechi ziwe zile za Yanga vs Namungo na Yanga va Biashara, kwa vyovyote Matokeo yangekua ni Namungo1- Yanga 0 na Yanga1-Biashara 1 huo ndiyo ukweli. Team iko tayari kubeba ubingwa kwa hila, lakini haitawasaidia lolote kwa sababu kwenye mashindano makubwa , watang’olewa mapema kama tulivyoshuhudia hivi majuzi
 
Back
Top Bottom