Kama Seif hataki Serikali mbili Ajiuzulu

Kama Seif hataki Serikali mbili Ajiuzulu

Nape vuvuzela la Kinana. Kwani huko CCM kuna Nape na kinana tu? Mbona viongozi wengine wa CCM hawazunguki kupiga maneno labda tungesikia mambo mapya. Singo za kinana na nape zimeshachuja mara wajenge, walime, wachote maji, waimbe, nk. yaani ni vituko tu kila siku. Hizo ndo siasa za majitaka.
 
Seif ni namba nyingne hao knana na nape pengne hawamjui vizuri wawaulize viongozi wakongwe wa chama chao cha mafisadi uwezo wa maalim.
 
Kama Seif hataki Serikali mbili Ajiuzulu Katibu wa CCM itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amemtaka Makamu wa kwanza wa Rais ambaye pia ni katibu Mkuu wa CUF taifa Maalim Seif Sharif Hamad ajiuzulu nafasi hiyo kama hataki Muungano wa Serikali mbili.



Ama! mna mlazimisha?Hataki sasa vyote,yaani hajihuzulu na serikali mbili hataki mtamfanya nini?
 
Kama Seif hataki Serikali mbili Ajiuzulu Katibu wa CCM itikadi na uenezi wa CCM Nape Nnauye amemtaka Makamu wa kwanza wa Rais ambaye pia ni katibu Mkuu wa CUF taifa Maalim Seif Sharif Hamad ajiuzulu nafasi hiyo kama hataki Muungano wa Serikali mbili.




Vuvuzela@hisbest!!; hajiuzulu Ntu hapa; Maalim stay put; fight them from within, na kama wana ubavu wakufukuze tuone jeuri ya magamba!
 
Wewe ukoje jamani? nani kasema hayo, Nape au mwenyekiti wa CCM magharibi Unguja?
 
Kuna Afisa mmoja aliwahi kuniambia kuwa, Toka 1995-2010 CUF ndo huwa inashinda Urais Zanzibar.
 
Wananchi tuache taswira ya ushindi kabla ya kupiga kura hii inaweza kupelekea wizi Wa kura ili kufikia malengo. Hili ndilo litakaloleta umwagaji damu Tuwaachie wananchi uamuzi wao pasipokuingiliwa Uhuru wao
 
Back
Top Bottom